Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,441
- 64,765
Ajabu kuna watu hawakuliona hilo tokea mwanzo.Ilikuwa lazima Madabida ahudhurie ile windup ya jana! Kwamba, alitengeneza ARV Fake hilo ni jambo moja lakini kuhudhulia shughuli ya kisiasa ni jambo lingine! Tangu mwanzoni watu tulikuwa tunasema kwamba zoezi limejaa viashiria vya siasa ndani yake! Jambo lolote linalohusisha siasa utalijua tu kwa sababu professionalism inakuwa sio hoja ya msingi kwenye suala husika bali publicity!
Jana Madabida amethibitisha kwamba lilikuwa ni suala la kisiasa! Kule background kulikuwa ama na vijana wadogo au audio iliyokuwa inatoa vibwagizo kwa mtindo wa Chipukizi wwa CCM!
Hii sio vita ya madawa ya kulevya,ni muendelezo wa siasa chafu za kuchafuana.
Baada ya kumtaja Mbowe (KUB) wengine wamekabidhiwa kwa mkuu wa kitengo kimyakimya.