CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Watanzania tumeona jinsi spika Anna Makinda ambavyo amekuwa akizima hoja zenye umuhimu katika taifa letu. Tumejifunza mengi kuhusu madaraka ya spika kipindi hiki cha Anna Makinda. Definitely waliokuwa wanatoa hoja za kulinusuru taifa hili ni wapinzani particularly CDM.
MAONI YANGU: KUNA HAJA YA KUAINISHA MADARAKA YA SPIKA-
1. mfano, ikiundwa kamati, isiwe discretion ya Spika kutoa taarifa hiyo kwa umma/wabunge wenzake, bali iwe mandatory kuiweka wazi.
2. Spika asiwe Spika Mfalme !!! Kwa sasa ilivyo, ndani ya Bunge spika ni Mfalme!
3.Amekataa miongozo mingi toka kwa wapinzani-bunge la vyama vingi lina haja ya kuangaliwa kanuni za uendeshaji wake
4. etc, etc, etc, etc
MAONI YANGU: KUNA HAJA YA KUAINISHA MADARAKA YA SPIKA-
1. mfano, ikiundwa kamati, isiwe discretion ya Spika kutoa taarifa hiyo kwa umma/wabunge wenzake, bali iwe mandatory kuiweka wazi.
2. Spika asiwe Spika Mfalme !!! Kwa sasa ilivyo, ndani ya Bunge spika ni Mfalme!
3.Amekataa miongozo mingi toka kwa wapinzani-bunge la vyama vingi lina haja ya kuangaliwa kanuni za uendeshaji wake
4. etc, etc, etc, etc