Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,124
- 831,803
Pamoja na kwamba marehemu hana haki lakini damu ya mtu haiendi bure! Karma is bitch.... And this bush has a story to tell....!!!!
Chris Musando RIP kafa kifo cha mateso makubwa, Mtaalam mwandamizi wa mambo ya ICT kwenye tume ya uchaguzi Kenya
Ni mmojawapo wa watu wachache sana nchini Kenya aliyekuwa anajua servers za tume ya uchaguzi Kenya zilipo
Siku chache zilizopita aliteuliwa KUKAIMU nafasi nyeti ya usimamizi kitengo cha ICT kwenye tume ya uchaguzi Kenya, mtangulizi wake alilazimishwa kwenda likizo ya mwezi mmoja. Alikubali uteuzi lakini pengine uzalendo kwa nchi yake ulimfanya asikubaliane na matakwa ya kundi fulani (kundi la madaraka ya kulevya)
Alianza kupokea vitisho siku chache baada ya uteuzi, alichukua hatua stahiki kwa kuripoti kituo kikuu cha polisi na akapewa ulinzi maalum wa askari wasiopungua sita wenye silaha na magari mawili (chase cars)
Mara ya mwisho alionekana ijumaa jioni akitoka kazini na ujumbe waje wa mwisho (hausemwi) aliutuma usiku wa manane kuamkia jumamosi kwenda kwa rafiki yake! Mwili wake ulikuja kuokotwa nje ya jiji la Nairobi vichakani ukiwa na majeraha mgongoni kichwani usoni tumboni na mkono mmoja ukiwa umevunjwa kabisa... Dalili za kifo cha mateso sana...
Pamoja naye alikuwa na mwanamke ambaye hajatambulika(most likely alitumika kama chambo). Kwa maslahi ya wachache Chris ameacha mjane na yatima, amewaacha ndugu jamaa na marafiki, ameondoka na elimu na utaalam wake mkubwa, maisha yake yamekatishwa kwa ajili ya uroho wa wachache
Sikuwahi kukufahamu kabla lakini nimeumia....
Intelijensia ya kufuatilia wazalendo kisha kuwatesa na hatimaye kuwamaliza ni intelijensia ya hovyo kabisa.... JIRANI KACHEMKA MBAYA
Sent using Jamii Forums mobile app
Chris Musando RIP kafa kifo cha mateso makubwa, Mtaalam mwandamizi wa mambo ya ICT kwenye tume ya uchaguzi Kenya
Ni mmojawapo wa watu wachache sana nchini Kenya aliyekuwa anajua servers za tume ya uchaguzi Kenya zilipo
Siku chache zilizopita aliteuliwa KUKAIMU nafasi nyeti ya usimamizi kitengo cha ICT kwenye tume ya uchaguzi Kenya, mtangulizi wake alilazimishwa kwenda likizo ya mwezi mmoja. Alikubali uteuzi lakini pengine uzalendo kwa nchi yake ulimfanya asikubaliane na matakwa ya kundi fulani (kundi la madaraka ya kulevya)
Alianza kupokea vitisho siku chache baada ya uteuzi, alichukua hatua stahiki kwa kuripoti kituo kikuu cha polisi na akapewa ulinzi maalum wa askari wasiopungua sita wenye silaha na magari mawili (chase cars)
Mara ya mwisho alionekana ijumaa jioni akitoka kazini na ujumbe waje wa mwisho (hausemwi) aliutuma usiku wa manane kuamkia jumamosi kwenda kwa rafiki yake! Mwili wake ulikuja kuokotwa nje ya jiji la Nairobi vichakani ukiwa na majeraha mgongoni kichwani usoni tumboni na mkono mmoja ukiwa umevunjwa kabisa... Dalili za kifo cha mateso sana...
Pamoja naye alikuwa na mwanamke ambaye hajatambulika(most likely alitumika kama chambo). Kwa maslahi ya wachache Chris ameacha mjane na yatima, amewaacha ndugu jamaa na marafiki, ameondoka na elimu na utaalam wake mkubwa, maisha yake yamekatishwa kwa ajili ya uroho wa wachache
Sikuwahi kukufahamu kabla lakini nimeumia....
Intelijensia ya kufuatilia wazalendo kisha kuwatesa na hatimaye kuwamaliza ni intelijensia ya hovyo kabisa.... JIRANI KACHEMKA MBAYA
Sent using Jamii Forums mobile app