nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Hivi Madaktari wa Visiwani Zanzibar na Pemba waligoma? na Vipi Wapemba na Wazanzibar wanaofanya kazi Muhimbili?
Kwahiyo Serikali ya Dr. (Rais wa Zanzibar) ni kiboko haina matatizo kwasababu Udokta wake ni wa kusomea; ya bara Udokta wa kupewa hakuandika THESIS, so kuna upungufu wa kuwaelewa matakwa yao
Well, Kwanini wasibadilishane basi Rais wa Zanzibar Achukue Tanganyika; Rais wa Tanganyika achukue Ndege yake na Aende Zanzibar kuwa Rais Wa nchi hiyo... IS IT FAIR? WILL IT GOING TO BE PRODUCTIVE? on BOTH ENDS?
Kwahiyo Serikali ya Dr. (Rais wa Zanzibar) ni kiboko haina matatizo kwasababu Udokta wake ni wa kusomea; ya bara Udokta wa kupewa hakuandika THESIS, so kuna upungufu wa kuwaelewa matakwa yao
Well, Kwanini wasibadilishane basi Rais wa Zanzibar Achukue Tanganyika; Rais wa Tanganyika achukue Ndege yake na Aende Zanzibar kuwa Rais Wa nchi hiyo... IS IT FAIR? WILL IT GOING TO BE PRODUCTIVE? on BOTH ENDS?