Madaktari wa Serikali wanaojiongezea kipato kwenye Hospitali binafsi kukiona...

Sasa si muache tu kazi serikalini mwende mkaendeleze hizo clinic zenu binafsi, badala ya kubaki huku na huku na hitimaye mnafanya kazi nusu nusu na utendaji kuonekana haufai. Make up your mind and quit from the government ili madaktari wengine waajiriwe. Udaktari siyo kazi ya kibabaishaji km siasa kwamba inategemeana na upepo unavyovuma. Udaktari unaendana na maadili, principles na masharti ya ajira. Kama unaamua kubaki serikalini basi fuata taratibu za ajira yako; unaweza kuona wagonjwa kwenye clinic yako on your private time, day off, baada ya kazi etc.

Kwa mshahara wa 1.3M hakuna atakayefanya kazi kwa ufanisi kama akizuiwa kufanya shughuli zingine.Utakuwa ni mzunguko wa kuajiri na kuacha kazi.Nakubaliana na wewe kwamba udaktari sio kazi ya kibabaishaji kwa hiyo maamuzi kuwahusu yasiwe ya kibabaishaji maana adhari zake ni za moja kwa moja na za haraka.
Nadhani tuwekeze kuhakikisha Hospital zina Madawa na Vifaa vya Matibabu.
Kusema ukweli toka nizaliwe sijawahi kufika Hospitali na kukosa Daktari au Muuguzi isipokuwa ninachelewa kumwona Tabibu au Daktari kutokana na wingi wa Wagonjwa ila kila Mara nakosa Dawa na Vipimo.
 
Madaktari huwa hawakionagi, wanaokionaga ni wagonjwa.................

Waanze na kuboresha miundombinu, vifaa tiba, madawa na maslahi ya madaktari kwanza then ndiyo waje na hiyo mikataba yao ya Carl Peter........
 
Mimi nimedhara pale madaktari walipodharau watu wanaosoma degree za miaka mitatu. Kwani miaka mitano au sita au saba ndio nini? Mbona ili uhitimu uchawi unatakiwa usome darasani miaka 17 mbona hatusemi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa si muache tu kazi serikalini mwende mkaendeleze hizo clinic zenu binafsi, badala ya kubaki huku na huku na hitimaye mnafanya kazi nusu nusu na utendaji kuonekana haufai. Make up your mind and quit from the government ili madaktari wengine waajiriwe. Udaktari siyo kazi ya kibabaishaji km siasa kwamba inategemeana na upepo unavyovuma. Udaktari unaendana na maadili, principles na masharti ya ajira. Kama unaamua kubaki serikalini basi fuata taratibu za ajira yako; unaweza kuona wagonjwa kwenye clinic yako on your private time, day off, baada ya kazi etc.
Uko sahihi kabisa. Tatizo ni pale mwajiriwa anapoambiwa kutimiza wajibu wakati mwajiri kushindwa kutimiza wajibu. Mwajiri kushindwa kujiuliza nini shida ya madaktari? Mimi niwakumbushe, kuna madaktari wengi ambao wamesoma kwa ruzuku ya serikali, iwaajiri na kuwaendesha hao, sisi hatuendeshwi! Bora tuendeshwe na wenzetu wanaojua tabu tuluzopata na si hawa wanasiasa na vyeo vyao vya kuteuliwa
 
Mimi nimedhara pale madaktari walipodharau watu wanaosoma degree za miaka mitatu. Kwani miaka mitano au sita au saba ndio nini? Mbona ili uhitimu uchawi unatakiwa usome darasani miaka 17 mbona hatusemi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nani alikukataza kusoma udaktari? Kwa taarifa yako miaka mitano yenyewe bado haitoshi
 
Tatizo la wasomi wetu wengi wamesoma Ila wanachokosa ni maarifa
Hivi kuhimizwa utimize wajibu wako ni kutishiwa?
Waanze wao kwanza kutimiza wajibu wao, Hali ya dawa na vifaa tiba na mazingira ya kazi wewe unaona iko sawa?
 
Kwa mshahara wa 1.3M hakuna atakayefanya kazi kwa ufanisi kama akizuiwa kufanya shughuli zingine.Utakuwa ni mzunguko wa kuajiri na kuacha kazi.Nakubaliana na wewe kwamba udaktari sio kazi ya kibabaishaji kwa hiyo maamuzi kuwahusu yasiwe ya kibabaishaji maana adhari zake ni za moja kwa moja na za haraka.
Nadhani tuwekeze kuhakikisha Hospital zina Madawa na Vifaa vya Matibabu.
Kusema ukweli toka nizaliwe sijawahi kufika Hospitali na kukosa Daktari au Muuguzi isipokuwa ninachelewa kumwona Tabibu au Daktari kutokana na wingi wa Wagonjwa ila kila Mara nakosa Dawa na Vipimo.
Absolutely.
 
Tukoelekea walimu wa shule za serikali wanaofundisha part time shule za binafsi wazuiliwa
 
Serikali ya matamko kila mtu anaongea tu sijui lini wamefanya utafiti na kuja na mawazo hayo time will tell tusubiri.Hakuna motivation nyie ni ni kudeamand tu haya.
 
I am preparing myself to study a degree in Election Hacking Technique, they say the pay is extremely high and the trend in election hacking in order for the ruling party to prevail is becoming so popular.
 
Waongeze mshahara. Halafu wasitutishe hata tukiacha kazi serikalini tutafanya deal zetu, pole kwa wale madaktari wababaishaji lakini wenye shule zetu tunadunda. Yaani watu tusome degree miaka mitano na internship mwaka mmoja na residency miaka mitatu halafu tutishwe na watu wenye videgree vya miaka mitatu!!! Shame on you
 
Waongeze mshahara. Halafu wasitutishe hata tukiacha kazi serikalini tutafanya deal zetu, pole kwa wale madaktari wababaishaji lakini wenye shule zetu tunadunda. Yaani watu tusome degree miaka mitano na internship mwaka mmoja na residency miaka mitatu halafu tutishwe na watu wenye videgree vya miaka mitatu!!! Shame on you
Hujitambui na umekosa utu.
Anachozungumza huyu kiongozi ni sahihi tu. Serikali huwa haitoi huduma kama biashara kwa 100%. Kama ulikubali kuajiriwa unaona ni haki kumwacha mgonjwa Bugando hospital akiteseka huku wewe unachepukia kwenye kidispensari cha mtaa wa tatu?
Sheria zipo wazi ambazo zinaekekeza mtumishi jinsi ya kudai haki zake na si kukimbia majukumu huku mshahara unausubiri kwa hamu.
Eti sisi wenye shule zetu. Umegundua nini ambacho ulimwengu wanaapply licha ya kukariri mafundamento ya wazungu?
Hiyo elimu yako ukienda US. yawezekana hata zahanati zinaweza kusita kukuajiri.
Acha dharau ndugu.
 
wanajeshi ndio taaluma muhimu kuliko zote wakiungana na usalama wa taifa.. hata usa army na cia na fbi ndio wanatukuzwa kuliko taaluma zote
Akili yako ni fresh kama jina lako......... Pole sana kwa kuwaza kuwa kuna taaluma muhimu na zisizo muhimu
 
Hujitambui na umekosa utu.
Anachozungumza huyu kiongozi ni sahihi tu. Serikali huwa haitoi huduma kama biashara kwa 100%. Kama ulikubali kuajiriwa unaona ni haki kumwacha mgonjwa Bugando hospital akiteseka huku wewe unachepukia kwenye kidispensari cha mtaa wa tatu?
Sheria zipo wazi ambazo zinaekekeza mtumishi jinsi ya kudai haki zake na si kukimbia majukumu huku mshahara unausubiri kwa hamu.
Eti sisi wenye shule zetu. Umegundua nini ambacho ulimwengu wanaapply licha ya kukariri mafundamento ya wazungu?
Hiyo elimu yako ukienda US. yawezekana hata zahanati zinaweza kusita kukuajiri.
Acha dharau ndugu.
Kama ni dharau kwetu jimejaa kwa sababu mnaoiunga mkono system hamjielewi. Kwanza kazi zetu zina risk nyingi, kumeza PEP kwetu ni kawaida halafu ninyi mnazingua! Kwanza unaijua doctor patient ratio inayoshauriwa na WHO na ile iliyopo Tanzania? Hivi tukisema tufanye kazi kulingana na doctor patient ratio wananchi watasalimika? Mkiwa mna urgue mfikirie na upande mwingine. Hata hivyo Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizo na worst health system na si kwa sababu ya madaktari.
 
Hujitambui na umekosa utu.
Anachozungumza huyu kiongozi ni sahihi tu. Serikali huwa haitoi huduma kama biashara kwa 100%. Kama ulikubali kuajiriwa unaona ni haki kumwacha mgonjwa Bugando hospital akiteseka huku wewe unachepukia kwenye kidispensari cha mtaa wa tatu?
Sheria zipo wazi ambazo zinaekekeza mtumishi jinsi ya kudai haki zake na si kukimbia majukumu huku mshahara unausubiri kwa hamu.
Eti sisi wenye shule zetu. Umegundua nini ambacho ulimwengu wanaapply licha ya kukariri mafundamento ya wazungu?
Hiyo elimu yako ukienda US. yawezekana hata zahanati zinaweza kusita kukuajiri.
Acha dharau ndugu.
Umechunguza na muda wanaoifanya hiyo kazi ya ziada?
Nafikiri mantiki ni kazi za nje baada ya kazi,huku kutunisha misuri si kwa lazima sana bila kuchunguza au kukwepa chanzo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom