Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,435
- Thread starter
- #121
Wakishapata vyeo wanasahau kila kitu ...Dr. Chaula bana..eti anaipenda kazi yake ya udaktari....wakati yeye mwenyewe kateuliwa kuwa naibu katibu mkuu na hakukataa Na kusema angependa kubaki kuhudumia wagonjwa anaodai kuwajali...
...unafiki tu huu....anajua kabisa Dr. Chaula kuwa shida inayowafanya madaktari wa serikali kutafta kazi za ziada private ni maslahi(mishahara) duni....kama wangewalipa vema madaktari kungekuwa na haja gani wao kuhangaika huko private?
..yeye mwenyewe Dr. Chaula wakati anasoma kcmc hospital(internal medicine specialty) walikuwa wanafanya part time huko nje private... Ili kukidhi mahitaji,..leo anadanganya umma kwa vile amekalia mpini..unafiki tu...namtolea mfano yeye maana anadanganya wakati tupo tunaomjua tangu akiwa Chuo...
...mkitaka madaktari watulie kwenye mahospitali yenu walipeni vizuri.. Mengine yote blah blah za kisiasa tu...