Naomba msaada juu ya hili tatizo la wale Dada zetu waliotoboa masikio lakini wakaota nyama kwenye masikio yao. Je kwa operation, hizo nyama zinaweza kupotea moja kwa moja?. Kuna dada mmoja kafanyiwa operation Mara kama nne kwenye hospital ya mkoa mmojawapo Tanzania lakini kula operation vinaota tena. Je, anaweza kupona kabisa kupitia operation? Kuna watu wamemshauri akafanyiwe upasuaji Muhimbili, he akifanya tena vinaweza kuota Mara nyingine?