Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Wapo wanajibu hoja za jana.
je wamegoma wote au wengine wako kazini?
Ktk hili sakata, Madaktari watashindwa.... Huwezi kucheza na Serikali ukabaki salama.
Nawahurumia wale wenzangu na mimi wanaofuata mkumbo na mwishowe kupoteza ajira.
RUDINI KAZINI.....otherwise ...Very soon mtagundua kuwa mlikuwa mnapoteza muda na imeshakula kwenu.
Waoga kibao wapo kazini. Mi nipo Muhimbili saivi naona mambo tambarare
Ktk hili sakata, Madaktari watashindwa.... Huwezi kucheza na Serikali ukabaki salama.
Nawahurumia wale wenzangu na mimi wanaofuata mkumbo na mwishowe kupoteza ajira.
RUDINI KAZINI.....otherwise ...Very soon mtagundua kuwa mlikuwa mnapoteza muda na imeshakula kwenu.
Ktk hili sakata, Madaktari watashindwa.... Huwezi kucheza na Serikali ukabaki salama.
Nawahurumia wale wenzangu na mimi wanaofuata mkumbo na mwishowe kupoteza ajira.
RUDINI KAZINI.....otherwise ...Very soon mtagundua kuwa mlikuwa mnapoteza muda na imeshakula kwenu.
na wewe ngoromiko upo jf aisee ni hatari.
Kazi sio lazima ufanye serikalini tu.Kazi za madaktari zipo kibao hapa nchini hivyo kupoteza ajira yao sio issue kubwa.
Na serikali ikishindwa itasemaje? Sema pande zote mbili zikutane na kumaliza tofauti zao na siyo maguvu.
Serikali ishindwe? waulize magwanda na wanafunzi wa mlimani.
Kukutana ni madaktari waliofanya dharau jana, Waziri Mkuu kawangoja hawakutokea, walitaka wabembelezwe? Mwanachi ataekuwa nyuma ya hawa na kuwaunga mkono huyo haitakii mema Tanzania.