Madaktari KCMC wemeuwasha upya

Jeikey na kundi lako Mungu atashughulika nanyi kwa kupelekea kundi la waTz wengi wamekufa na wanaendelea kufa katika wakati kwa nyie wachache mlio serikalini kujifanya hamtumbui demands za hawa maDr's
 
Tuandamane bila kikomo mpaka rais ajiuzulu asituchee sisi!!!!!!!!!!!!!!! Kesho wote ofisi za Bunge tuwafurushe wabunge wanaopenda posho wote
 
Msijali wabunge watavaa makoti ya madaktari na kuingia kazini. Si kuna akina Prof. Maji Marefu!!!!!

Siyo huyo hapo kuna madokta wengi tu bungeni na serikalini pia mfano:-
  • Dr. Mary Nagu
  • Dr. Nchimbi
  • Dr. Shukuru Kawambwa
  • Dr. Hussein Mwinyi
  • Dr. Makongoro Mahanga
  • Dr. Dr. Dr. Dr. Mkuu Mwenyewe
Wawakabidhi tu vitendea kazi na madawa wakatibu wagonjwa.
 
Change has come to tanzania,kcmc tunawakubali sana,the wind of revolution is now shaking the foundation of ministry of health
 
Natamani siku ile ninayoifikiria ije,siku ambayo wananchi wataingia mtaani kuelekea Ikulu kuchukua madaraka yao kama ilivyofanyika katika nchi nyingine maana inaonekana wazi kabisa kuwa viongozi waliopewa ajira na wananchi wameshindwa kutimiza wajibu wao.
 
Tatizo hii serikali haijui kwamba mambo huanza hivi hivi na baadae mtu anakuja kujikuta anaambiwa sasa tunataka serikali ijiuzulu kumbe shida ingeweza kumalizika mapema bila kutumia nguvu!!! sasa walimu nao wakiingia sasa na kada zingne si balaa!!!
 
Sasa hivi ndio mtu anaona kabisa Mkapa alijitahidi sana...alifaa kasoro tu alkauza nyumba zetu
 
jana,mkurugenzi aliwaitia mapolisi madaktari walio katika mafunzo ya vitendo-waliokuwa katika 'vikao' vyao!
Huu si muda wa vitisho jamani-ni muda wa majadiliano!mnalazimisha punda kwenda mtoni hamwezi kumlazimisha kunywa maji!
Adui wa miti sio shoka bali mpini wa shoka utokanao na miti!
 
Acheni upumbavu, msicheze na afya za watanzania... *&**& nyie...
Mpumbavu mwenyewe, watanzania unao wasemea ndio wapi? hao wanaokomba laki mbili kwa kusugua makalio yao kwenye viti vyekundu?
 
Madaktari leo asubuhi wameukoleza moto kweli kweli!madaktari waliokwenye mafunzo ya vitendo (interns) wanazunguka tu wodini leo na madaktari wakazi(residents) wamekusanyika jengo la chuo cha kcmc wakiomba kupewa madarasa ya kusomea. Hii inatokana na vitisho walivyopewa na mkurugenzi wa hospitali kwamba hawaruhusiwi kugoma kwa sababu wao ni wanafunzi!
Madai yao ni kwamab 'sisi ni wanafunzi wa chuo hivyo hatuendi hospitali kutibu!tupewe madarasa tusome!'
Aluta continua

watanzania bado sana, yaani roho za watu zinapotea mnadai aluta continua!!! si mnge subiri hao wakubwa waugue mgome kuwaandikia rufaa ya kwenda India? sasa hao wananchi wanao kufa ndio walio wanyima hizo pesa mnazo dai? kama kweli hoja na mgomvi wenu ni serikali mngegoma kuwatibu na kuwapa rufaa za kwenda nje, Watanzania karibu woote wangewaunga mkono lakini kwa sasa mnaua watu tu na mtaendelea kuua tu maana hayo madai yenu hata serikali ikikubali yoote leo hamtafanya kazi wagonjwa watakuja tu sababu hawana jinsi. generally the trust and respect to you Docs is gone! you have let down the white uniform of the medical personnel, when you come back vaeni red or black!

NOTE: Zimbabwe kuna Typhoid ya kufa mtu nendeni mkatibu mtakua mabilionea chap chap! ila atleast mtafanya your noble job of saving life, hata kama ni nje ya Tanzania.


 
Back
Top Bottom