Madaktari: Hiki ndicho kilichomuua Kanumba

Kumbe kuna filam ameigiza kufa, bado hajatoka. Mazngira yake ni sawa na kifo chake.
 
Hii ndio Tanzania, nchi ya kusikilizia na umbea. Kila mtu atatoka na leke ili mradi asikike kuwa nae alisema. Kanumba alitabiri hivi, Kanumba alisema vile. Watanzania tupunguzeni umbea, Wakina mama wanakaa vibarazani kusema umbea, Watoto wanakaa ofisini kwa umbea kama huu mnaouleta. Hakuna Binaadamu anayetabiri kifo chake na wala anayejua siku yake ya kufa.
 
Labda kweli alianguka kwa bahati mbaya au alijigonga sehemu, Lulu nae apewe sehemu ya kujieleza, asionewe bure mtoto wa watu. Kama Lulu ni kicheche kwa nini marehemu alitembea nae..

Apewe nafasi ya kutueleza yaliyojiri siku hiyo.

Lulu hawezi kisheria kuja kuelezea hapa/vyombo vya habari kama ushahidi wa kilichotokea, bali yeye maelezo yote yapo polisi na tayari DPP anasubiri jalada lake!

Hadithi zoooooote zinazopigwa huku hazina nguvu kisheria ikiwa sisehemu ya ushahidi uliopo pilisi!
 
Labda kweli alianguka kwa bahati mbaya au alijigonga sehemu, Lulu nae apewe sehemu ya kujieleza, asionewe bure mtoto wa watu. Kama Lulu ni kicheche kwa nini marehemu alitembea nae..

Apewe nafasi ya kutueleza yaliyojiri siku hiyo.

Lulu hawezi kisheria kuja kuelezea hapa/vyombo vya habari kama ushahidi wa kilichotokea, bali yeye maelezo yote yapo polisi na tayari DPP anasubiri jalada lake!

Hadithi zoooooote zinazopigwa huku hazina nguvu kisheria ikiwa sisehemu ya ushahidi uliopo polisi!
 
Kwa mujibu Wa mpiga Picha mkuu Wa marehemu kumbe kuna filamu ambayo haijatoka kanumba ameigiza amekufa kwa kusukumwa na mpenzi wake.. Kama ilivyotokea kiuhalisia.. Pia hata Ule wimbo wake unazungumzia Kifo chake.

Source. TBC habari usiku huu.
 
Wama JF,

Steve Kanumba ndio hivyo tena ametutangualia R.I.P,

Me napenda kurudi nyuma kidogo baada ya kifo cha kanumba watanzania wengi wali kwenda zaidi na kutaka kujua fika kifo chake kilisababishwa na nini, Leo ndio siku ya Mazishi ya Steve Kanumba na yalifanyika vyema, ila asubuhi ya leo vyombo vya habari vilitoa Report ya Uchunguzi wa Madakatari kuwa ilikuwa Brain Concussion sawa hatuja kataa ila me kwangu namaswali mengi ya kujiuliza.


  1. kwa Tanzania Uchunguzi wa Kifo kama cha Steve Kanumba huwa unafanywaje? I mean procedures zake huwa ni zipi??
  2. Na Je kama Uchunguzi utafanyika je utakuwa kama hivi au utafuata vipengere kama hivi

A. Unconscious Victim

1. At scene - If victim unconscious on arrival at scene,
MAKE SURE THAT A POLICE OFFICER REMAINS WITH VICTIM AT ALL TIMES, INCLUDING TRIP TO HOSPITAL SO THAT ANY DYING DECLARATIONS MADE DURING CONSCIOUS PERIODS CAN BE NOTED.
2. At Hospital - Upon arrival at hospital alert medical personnel to possibility of dying declarations. Request them to note same if made during operative period.
3. Notification - Request to be notified if victim regains consciousness so that you will be present when any dying declarations made.



B. Removal of Victim from Scene

1. Before removal
a. If possible, photograph victim’s position at scene before removal.
b. If time and circumstance do not permit photos before victim is removed
carefully note the position of the victim in your report.
D. Obtain physical evidence from victim
a. Officer accompanying victim to hospital should collect victim’s clothing and personal effects as they become available.
b. Officer receiving items should carefully note time received and the identity of person from whom items were received.
c. If Necessary for identification items handled by physicians, nurses should be marked by those persons and the chain of custody noted. This is particularly important with items such as bullets, etc. Medical personnel should not attempt to identify caliber or types of firearms used.
NOTE: - A failure to follow up on collecting items that left the crime scene with the victim may cause their loss or render them useless as evidence.
C. Notify command of situation

1. Notify command of your agency, REQUEST ASSISTANCE.
2. Notify or request notification of DA representative (Only for legal questions, do
not allow a lawyer to get involved in the actual investigation. Their training limits them to the providing advise on legal issues only).
3. Notify or request notification of medical examiner.
D. Secure Scene

1. Block or rope off scene (ABigger is better").
2. Persons at Scene
a. Clear unauthorized person from the scene. NOTE: You cannot worry about hurting someone’s feelings. If they do not belong tell them to leave. This must include any unauthorized police command.
b. Prevent anyone from touching the body or disturbing anything pending the arrival of the medical examiner, identification personnel,and investigative officers.
c. Witnesses
1. Note name and address of persons present.
2. Obtain brief statement from each person present.
3. Hold witnesses until arrival of investigators.
4. Keep Witnesses separate to prevent conversation.
3. Prevent Destruction of fragile evidence such as footprints, tire tracks, etc.
E. Process Scene

CAUTION - Be aware that there are search and seizure problems in this area. If in doubt you may wish to contact your DA regarding a warrant or other advise.
NOTE: - At night - Obtain adequate lighting before scene processing commences. Artificial lighting used must be adequate for photography and for minute detail search for items such as hair, cartridge cases, etc.
WHEN LIGHTING NOT AVAILABLE - secure scene under guard and wait for daylight before processing is commenced.
F. Identification Personnel (Technical Investigators)

1. Note time of arrival
2. Note weather conditions, especially at outside crime scenes.
3. Check perimeter of scene to insure that all of scene is secured.
4. Obtain summary of situation from officer in charge.
5. Photograph scene
a. Photograph scene
1. Take color photographs of the scene from all angles. Work
from the perimeter to center.
2. Include photographs of entrance, exit routes to scene.
REMEMBER - There is no such thing as too many photographs of a crime scene.
3. Make sure that all possible locations relevant to scene are photographed. Particularly important that all rooms at scene are photographed.
REMEMBER - Something may have happened in an adjoining room that will be of critical importance as the investigation develops.
4. Photograph specific items of evidence such as footprints, cartridge cases, weapons, etc. as observed in place at scene. Where scale is important (footprints, tire tracks use ruler scale to show size).
5. Overhead photographs
a. Should be taken of outdoor scenes, including streets, intersections. These can be invaluable in constructing scale representation of scene.
b. Extension ladders, power company and fire trucks should be utilized for this purpose.
6. Video tape
a. Video tape recordings should be made of scene where possible.
b. Include video tape shots of collecting evidence, examining victim at scene.
c. Also video tape defendant, witnesses.
7. Photograph victim at scene
a. Color photographs should be taken of deceased from all angles.
b. Photograph deceased as items are removed from body, identification, clothing, etc.
c. Photograph substances on body and clothing of deceased such as blood, seminal fluid, powder residue, etc. These should include full length and close-ups.
d. Photograph wounds, injuries - include close-ups. This should be done step by step as body examined, disrobed by medical examiner at scene.
8. Make careful note of following:
a. Position of body
b. Position, condition of clothing
c. Location of substances on deceased and his clothing
d. Any alteration of deceased’s position before your arrival as determined from witnesses or officers.
9. Survey Scene
a. Take careful measurements of the scene. Measure each room in a house (NOTE: it is very hard to return later to a scene if you do not have a warrant).
b. Use a reference point that is permanent.
10. Search of Scene
A. Deceased
a. Before removing examine deceased for physical evidence (Example: loose hairs, fibers, etc.)
b. Place deceased on a cloth sheet, move body shortest possible distance.
c. Examine the ground underneath the victim
d. Examine deceased for additional physical evidence that may become visible after movement.
e. Collect physical evidence from deceased to include personal effects, clothing, shoes, weapons, etc.
B. Scene area
a. Organize scene search by adopting specific plan, assign tasks,areas of search to individual officers.
b. Assign ONE officer to collect, mark and transport items found.
c. Execute search by carefully following plan of assigned tasks.
d. Note, mark and photograph location of objects found such as latent fingerprints, footprints, tire tracks, tool marks, hair, fragments of cloth, buttons, cigarette butts, cartridge cases, bullet holes, bullets, bloodstains, etc.
e. Collect, mark evidence.
REMEMBER - When collecting evidence DO NOT overlook such items as room furniture, doors, etc. that can be used to reconstruct crime scene in court.
f. Preserve items of evidence individually.
i. Do not place separate items of evidence in same container. (Example: mixing items of clothing in one bag can compromise evidence such as head or pubic hair when the location of such items on a particular garment is critical.
ii. Use correct container - molded plastic container for blood. Paper bindle for hair or fiber. Paper bag for bloody items. Never put evidence that may decompose or deteriorate into a plastic bag.
iii. Provide information to lab personnel concerning source of item, what test you desire performed. Make contact with the lab personnel and give a brief account of what your investigation shows.
11. Process Defendant
A. Photograph Defendant
a. Show any injuries or lack of injuries
b. Show his clothing and general appearance
c. Show hands (both sides)
d. Show any tattoos or scars
B. Take any evidence that you are entitled to
a. Pubic combing if a rape case
b. Any item that is on the clothing and could be lost
c. Obtain warrant for blood and hair samples
12. Autopsy Processing
a. Arrange through the medical examiner the transportation of the victim to morgue.
b. Medical Examiner investigator or police officer should be present during the autopsy
c. If possible before autopsy take finger and palm prints of deceased. If not then once the autopsy is completed get the prints.
d. Pick up any evidence that was obtained during the autopsy (blood samples, hair samples, fingernail scrapings, bullets)
NOTE: Place each item in a separate container. Paper bags are best. Each container should be marked, dated and initialed.
13. Investigative Personnel
a. Obtain summary of situation from officer at scene.
b. Check scene security and take steps necessary to correct and errors or omissions, if any.
c. Review all actions of officers on the scene
d. Initiate Investigation from the beginning
e. Determine identity of deceased
1. Identification on person of deceased
2. Relatives
3. Witnesses
4. Fingerprints
f. Attempt to reconstruct events at crime scene by use of the following:
1. Position of body
2. Number, location of wounds
3. Trajectory of bullets
4. Bloodstains, substances
5. Other signs of violence
6. Other physical evidence at scene

My Take;

  1. Na mashaka sana kama uchunguzi wa kwetu hapa Tanzania uta tendea haki Familia ya Kanumba?
  2. Kwa kutangazwa haraka report ya kilicho letea kifo cha kanumba kinanipa wasiwasi mkubwa kwani report ni kama fupi sana yani imetolewa kwa majibu ya haraka haraka
  3. Police ya Tanzania inapswa kuwa na kipindi maalumu cha kuelimisha Jamiii kwa matukio kama haya yaliyo mtokea kanumba ni nini wananchi wanatakiwa kufanya endapo tukio kama hilo limetokea
  4. Wa Tanzania inatupasa nasi kufunguka akili mapema na kujua haki zetu kisheria na kujitambua esp wajibu wetu.
  5. Vyombo vya habari vijitahidi sana kuwa wabunifu katika kuwa elimisha watanzania mambo ya kijamii, kiuchumi, kimaendeleo, I mean ELIMU YA URAIA ni muhimu sana katika Taifa letu hili sio lazima ukafundishwe Darasani.
 
Kama sio Lulu basi kuna mwingine mwenye kesi ya kujibu. Concussion haitokei bila kugongwa ama kujigonga. Ila ile story ya Kanumba alilegea akaanguka inaweza kumtoa (after walau 3 years). Akitoka huko atakuwa mkubwa, anaweza kugombea ubunge wa vijana ccm

Aisee...!
 
Wama JF,

Steve Kanumba ndio hivyo tena ametutangualia R.I.P,

Me napenda kurudi nyuma kidogo baada ya kifo cha kanumba watanzania wengi wali kwenda zaidi na kutaka kujua fika kifo chake kilisababishwa na nini, Leo ndio siku ya Mazishi ya Steve Kanumba na yalifanyika vyema, ila asubuhi ya leo vyombo vya habari vilitoa Report ya Uchunguzi wa Madakatari kuwa ilikuwa Brain Concussion sawa hatuja kataa ila me kwangu namaswali mengi ya kujiuliza.


  1. kwa Tanzania Uchunguzi wa Kifo kama cha Steve Kanumba huwa unafanywaje? I mean procedures zake huwa ni zipi??
  2. Na Je kama Uchunguzi utafanyika je utakuwa kama hivi au utafuata vipengere kama hivi

A. Unconscious Victim

1. At scene - If victim unconscious on arrival at scene,
MAKE SURE THAT A POLICE OFFICER REMAINS WITH VICTIM AT ALL TIMES, INCLUDING TRIP TO HOSPITAL SO THAT ANY DYING DECLARATIONS MADE DURING CONSCIOUS PERIODS CAN BE NOTED.
2. At Hospital - Upon arrival at hospital alert medical personnel to possibility of dying declarations. Request them to note same if made during operative period.
3. Notification - Request to be notified if victim regains consciousness so that you will be present when any dying declarations made.



B. Removal of Victim from Scene

1. Before removal
a. If possible, photograph victim’s position at scene before removal.
b. If time and circumstance do not permit photos before victim is removed
carefully note the position of the victim in your report.
D. Obtain physical evidence from victim
a. Officer accompanying victim to hospital should collect victim’s clothing and personal effects as they become available.
b. Officer receiving items should carefully note time received and the identity of person from whom items were received.
c. If Necessary for identification items handled by physicians, nurses should be marked by those persons and the chain of custody noted. This is particularly important with items such as bullets, etc. Medical personnel should not attempt to identify caliber or types of firearms used.
NOTE: - A failure to follow up on collecting items that left the crime scene with the victim may cause their loss or render them useless as evidence.
C. Notify command of situation

1. Notify command of your agency, REQUEST ASSISTANCE.
2. Notify or request notification of DA representative (Only for legal questions, do
not allow a lawyer to get involved in the actual investigation. Their training limits them to the providing advise on legal issues only).
3. Notify or request notification of medical examiner.
D. Secure Scene

1. Block or rope off scene (ABigger is better").
2. Persons at Scene
a. Clear unauthorized person from the scene. NOTE: You cannot worry about hurting someone’s feelings. If they do not belong tell them to leave. This must include any unauthorized police command.
b. Prevent anyone from touching the body or disturbing anything pending the arrival of the medical examiner, identification personnel,and investigative officers.
c. Witnesses
1. Note name and address of persons present.
2. Obtain brief statement from each person present.
3. Hold witnesses until arrival of investigators.
4. Keep Witnesses separate to prevent conversation.
3. Prevent Destruction of fragile evidence such as footprints, tire tracks, etc.
E. Process Scene

CAUTION - Be aware that there are search and seizure problems in this area. If in doubt you may wish to contact your DA regarding a warrant or other advise.
NOTE: - At night - Obtain adequate lighting before scene processing commences. Artificial lighting used must be adequate for photography and for minute detail search for items such as hair, cartridge cases, etc.
WHEN LIGHTING NOT AVAILABLE - secure scene under guard and wait for daylight before processing is commenced.
F. Identification Personnel (Technical Investigators)

1. Note time of arrival
2. Note weather conditions, especially at outside crime scenes.
3. Check perimeter of scene to insure that all of scene is secured.
4. Obtain summary of situation from officer in charge.
5. Photograph scene
a. Photograph scene
1. Take color photographs of the scene from all angles. Work
from the perimeter to center.
2. Include photographs of entrance, exit routes to scene.
REMEMBER - There is no such thing as too many photographs of a crime scene.
3. Make sure that all possible locations relevant to scene are photographed. Particularly important that all rooms at scene are photographed.
REMEMBER - Something may have happened in an adjoining room that will be of critical importance as the investigation develops.
4. Photograph specific items of evidence such as footprints, cartridge cases, weapons, etc. as observed in place at scene. Where scale is important (footprints, tire tracks use ruler scale to show size).
5. Overhead photographs
a. Should be taken of outdoor scenes, including streets, intersections. These can be invaluable in constructing scale representation of scene.
b. Extension ladders, power company and fire trucks should be utilized for this purpose.
6. Video tape
a. Video tape recordings should be made of scene where possible.
b. Include video tape shots of collecting evidence, examining victim at scene.
c. Also video tape defendant, witnesses.
7. Photograph victim at scene
a. Color photographs should be taken of deceased from all angles.
b. Photograph deceased as items are removed from body, identification, clothing, etc.
c. Photograph substances on body and clothing of deceased such as blood, seminal fluid, powder residue, etc. These should include full length and close-ups.
d. Photograph wounds, injuries - include close-ups. This should be done step by step as body examined, disrobed by medical examiner at scene.
8. Make careful note of following:
a. Position of body
b. Position, condition of clothing
c. Location of substances on deceased and his clothing
d. Any alteration of deceased’s position before your arrival as determined from witnesses or officers.
9. Survey Scene
a. Take careful measurements of the scene. Measure each room in a house (NOTE: it is very hard to return later to a scene if you do not have a warrant).
b. Use a reference point that is permanent.
10. Search of Scene
A. Deceased
a. Before removing examine deceased for physical evidence (Example: loose hairs, fibers, etc.)
b. Place deceased on a cloth sheet, move body shortest possible distance.
c. Examine the ground underneath the victim
d. Examine deceased for additional physical evidence that may become visible after movement.
e. Collect physical evidence from deceased to include personal effects, clothing, shoes, weapons, etc.
B. Scene area
a. Organize scene search by adopting specific plan, assign tasks,areas of search to individual officers.
b. Assign ONE officer to collect, mark and transport items found.
c. Execute search by carefully following plan of assigned tasks.
d. Note, mark and photograph location of objects found such as latent fingerprints, footprints, tire tracks, tool marks, hair, fragments of cloth, buttons, cigarette butts, cartridge cases, bullet holes, bullets, bloodstains, etc.
e. Collect, mark evidence.
REMEMBER - When collecting evidence DO NOT overlook such items as room furniture, doors, etc. that can be used to reconstruct crime scene in court.
f. Preserve items of evidence individually.
i. Do not place separate items of evidence in same container. (Example: mixing items of clothing in one bag can compromise evidence such as head or pubic hair when the location of such items on a particular garment is critical.
ii. Use correct container - molded plastic container for blood. Paper bindle for hair or fiber. Paper bag for bloody items. Never put evidence that may decompose or deteriorate into a plastic bag.
iii. Provide information to lab personnel concerning source of item, what test you desire performed. Make contact with the lab personnel and give a brief account of what your investigation shows.
11. Process Defendant
A. Photograph Defendant
a. Show any injuries or lack of injuries
b. Show his clothing and general appearance
c. Show hands (both sides)
d. Show any tattoos or scars
B. Take any evidence that you are entitled to
a. Pubic combing if a rape case
b. Any item that is on the clothing and could be lost
c. Obtain warrant for blood and hair samples
12. Autopsy Processing
a. Arrange through the medical examiner the transportation of the victim to morgue.
b. Medical Examiner investigator or police officer should be present during the autopsy
c. If possible before autopsy take finger and palm prints of deceased. If not then once the autopsy is completed get the prints.
d. Pick up any evidence that was obtained during the autopsy (blood samples, hair samples, fingernail scrapings, bullets)
NOTE: Place each item in a separate container. Paper bags are best. Each container should be marked, dated and initialed.
13. Investigative Personnel
a. Obtain summary of situation from officer at scene.
b. Check scene security and take steps necessary to correct and errors or omissions, if any.
c. Review all actions of officers on the scene
d. Initiate Investigation from the beginning
e. Determine identity of deceased
1. Identification on person of deceased
2. Relatives
3. Witnesses
4. Fingerprints
f. Attempt to reconstruct events at crime scene by use of the following:
1. Position of body
2. Number, location of wounds
3. Trajectory of bullets
4. Bloodstains, substances
5. Other signs of violence
6. Other physical evidence at scene

My Take;

  1. Na mashaka sana kama uchunguzi wa kwetu hapa Tanzania uta tendea haki Familia ya Kanumba?
  2. Kwa kutangazwa haraka report ya kilicho letea kifo cha kanumba kinanipa wasiwasi mkubwa kwani report ni kama fupi sana yani imetolewa kwa majibu ya haraka haraka
  3. Police ya Tanzania inapswa kuwa na kipindi maalumu cha kuelimisha Jamiii kwa matukio kama haya yaliyo mtokea kanumba ni nini wananchi wanatakiwa kufanya endapo tukio kama hilo limetokea
  4. Wa Tanzania inatupasa nasi kufunguka akili mapema na kujua haki zetu kisheria na kujitambua esp wajibu wetu.
  5. Vyombo vya habari vijitahidi sana kuwa wabunifu katika kuwa elimisha watanzania mambo ya kijamii, kiuchumi, kimaendeleo, I mean ELIMU YA URAIA ni muhimu sana katika Taifa letu hili sio lazima ukafundishwe Darasani.
 
ivi uchunguzi wa kifo cha whitney ulichukua siku ngapi? tusijidharau sana watz! hayo ni mambo ya kitaalam, bila kujali ni Tz au wapi
Tangia Jmosi mpaka J3 uchunguzi wa sumu haujafanyika? Tanzania zaidi ya uijuavyo,dogo ataozea jela huyu its murder case mpaka hapa!
 
Labda kweli alianguka kwa bahati mbaya au alijigonga sehemu, Lulu nae apewe sehemu ya kujieleza, asionewe bure mtoto wa watu. Kama Lulu ni kicheche kwa nini marehemu alitembea nae..

Apewe nafasi ya kutueleza yaliyojiri siku hiyo.

Lulu hawezi kisheria kuja kuelezea hapa/vyombo vya habari kama ushahidi wa kilichotokea, bali yeye maelezo yote yapo polisi na tayari DPP anasubiri jalada lake!

Hadithi zoooooote zinazopigwa huku hazina nguvu kisheria ikiwa sisehemu ya ushahidi uliopo polisi!
 
Mkuu,
Hii Bongo nani ana muda wa kupitia hadidu zote hizo?
Yaani hapo ni 1/4 tu ya hizo hadidu imefuatwa, na hivyo tusitegemee ukweli wowote wa matokeo yaliyotolewa!
Funika kombe mwanaharamu apite!
 
Mwenyezi Mungu hutenda yale tunayo yaomba.
Hata mwanao ukimsemea mabaya hutokea vivyo hivyo.
Ndimi na mioyo yetu ndio tekelezo na yeye aliyetuumba.
 
Madaktari washamaliza kazi yao mkuu, hebu tusubiri na polisi nao wafanye kazi yao halafu mwisho wa siku ndiyo tunaweza sema chochote. it is still too early to comment.
 
Kwa mujibu Wa mpiga Picha mkuu Wa marehemu kumbe kuna filamu ambayo haijatoka kanumba ameigiza amekufa kwa kusukumwa na mpenzi wake.. Kama ilivyotokea kiuhalisia.. Pia hata Ule wimbo wake unazungumzia Kifo chake.

Source. TBC habari usiku huu.
 
Madaktari washamaliza kazi yao mkuu, hebu tusubiri na polisi nao wafanye kazi yao halafu mwisho wa siku ndiyo tunaweza sema chochote. it is still too early to comment.

Yeah ni kweli ni mapema sana kutoa Comment ila hilii kwangu lilikuwa ni angalizo kwa wana JF ambao mwaelewa mambo yanavyo endeshwa ila huko mbeleni tujue jinsi gani ya kuwa rekebisha endapo watatupeleka kubaya.

My Take;
Ni hawa ndugu zangu Police tuuuu sijawahi waona wakituonyesha hata umakini wao wa uchunguzi wao huwa chukuwa peleka Mortuary then kuzika wanabakia na utundu wa kumwambia Dr. fanya hivi na vile ili wasipate usumbufu wa kuchunguza.

kwa katiba ijayo me ntaongezea kutungwe sheria ya kuupa au kuipa nguvu kitengo cha uchunguzi katika maswala kama haya yaliyo tokea ili tuwe na taarifa za ukwelii na sio taarifa za kusadikika kama stories zilivyo enea huko mikoani na kila mtu twajifanya sie ndio Homicide Investigator .

Hapa tukumbuke haki inatakiwa kutendeka, kwani ukisikiliza au ukisoma vyema majibu ya madoctor wetu ni kuwa wanakwepa kuisaidia police kufanya uchunguzi, Ila wakumbuke kuwa Police yetu sijui kama ina Kitengo au Madoctor wa kuchunguza case kama hiii ya Brain Concussion


 
Madaktari wa bongo hawaaminiki. Hata tiba ya babu wa Loliondo waliibariki, kumbe ilikuwa feki!

Kwa mara ya kwanza nakupongeza Mr. Rejao kwa kuongea point kubwa. Kweli madaktari hawaaminiki, lakini vile vile, huyo binti sidhani alimuua kanumba. kwa maana taarifa yake ya hawali ni sawa kabisa na kile madaktari walichokigundua kwamba jamaa inawezekana aligonga kichwa. alilewa kwa hiyo kuyumba na kugonga ukuta ulikuwa ni rahisi mno
 
Nani aliutikisa ubongo wa kanumba?!!
Still lulu bado yupo hatiani, na bado narefer maelezo ya mwanzo kwamba alimsukuma!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom