Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
|
|
jana kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku nilimsikia waziri wa afya akikanusha kufukuzwa kazi hao dr 229 bali wanasubiri kupangiwa vituo vya kazi. wizara yake inafanya utaratibu wa kuwapeleka hospitla mbalimbali za serikali kwa hiyo hawajafukuzwa je ukweli upo upande upi?!