Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
|
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
|
jana kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku nilimsikia waziri wa afya akikanusha kufukuzwa kazi hao dr 229 bali wanasubiri kupangiwa vituo vya kazi. wizara yake inafanya utaratibu wa kuwapeleka hospitla mbalimbali za serikali kwa hiyo hawajafukuzwa je ukweli upo upande upi?!