Madai ya Janeth Shayo, Mkazi wa Uru, Moshi, kutosikilizwa

Bado sijaelewa vzr hii hoja. Kwa kuwa tukio lilitokea 28 Februari 2024 na wanafamilia wakakaa nalo Hadi tarehe 11 Machi 2024 ndiyo wakaripoti Polisi na jalada kufunguliwa. Taarifa za mitandao zimeanza jana asubuhi ambapo, Jeshi la Polisi likatoa taarifa ya ujumla wa kesi zote. Sasa sijajua hapa, nani alianza kuchukua hatua kwa wakati na kwa nini ilitoka taarifa ya upotoshaji ya kutuhumu waziri kuwa kaongea na mlalamikaji wakati siyo kweli. Kila mmoja atapima mwenyewe.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Aisee,sijawahi kuwa na imani na kiongozi yeyote wa serikali, ila wewe unanipa matumaini,kuwa kuna wachache wema waliobaki, Mungu wa mbinguni akupe uzima Mama,akuongezee hekima na akukomaze katika Uthubutu, inaonyesha huna makandokando ndiyo maana una ujasiri wa kusimama mbele ya wana JF wote na ukaongea kwa kujiamini kabisa,barikiwa sana.
 
Naomba kutazama shule za msingi maana watoto wetu wa sasa kila wakizaliwa ni nusu wafu, swala la fimbo litazamwe upya.
Hili ndilo la muhimu zaidi. Tusishughulike na matokeo ama matukio pekee bali tushughulike na kuzuia.

Hizi adhabu za viboko ifikie mahali zifutwe kabisa kuwe na adhabu mbadala kama kutozwa faini mzazi kwa kosa kubwa lililofanywa na mzazi.

Na fedha hiyo iingie serikalini sio shule husika maana wengine walimu watafanya kama chanzo cha mapato.

Vinginevyo watoto wetu watauliwa na hawa baadhi ya walimu wasiojitambua.
 
Lifanyiwe kazi.

Kuchapa viboko watoto kuanzie Dalasa la tatu.

Tena kwa ruhusa maalum ya Mwalimu Mkuu kama taratibu zinavyoeleza.
Na uzito wa Kiboko uzingatiwe.
Usiwe ule wa kuuwa Nyoka.

Nyakati hizi watoto wanaoanza Dalasa la Kwanza ni wadogo sana kwa Umri, Umbo na Utimamu wa afya.

Haiingia akilini Mwalimu mwenye Umri wa miaka kuanzia Ishirini Hadi sitini kumchapa Kiboko mtoto mdogo wa Dalasa la Kwanza ambaye hana ufahamu wa kutosha kuhusu taratibu na kanuni za mafunzo.
Uzito wa Kiboko hauzingatiwi kulingana na Umri wa mtoto.

Shule Binafsi zinawezaje kuwaelimisha watoto bila viboko?

Wengi tumesoma Primary Schools humu.

Kuna walimu wanapenda kuchapa viboko tu, darasani wanatema pumba tu.

Walimu Wakuu ni lazima wapewe miongozo ya viboko.

Eti Mwalimu wa umli wa miaka 40 anamlalamikia mtoto wa miaka 6 kuwa ni mtundu sana.
Hadi anaona, Jibu ni kumtandika tu viboko.
Mtu kama huyo hana sifa ya kuwa Mwalimu.
Maana ya Mwalimu wa Msingi na Secondary, ni MLEZI wa watoto.


Nchi zilizo staarabika zimeacha huu upuuzi wa viboko.
Mtoto hasikii arudishwe kwa wazazi wake wakamrekebishe.

Mtu mzima timamu kuanza kufanya bifu na vitoto vya Dalasa la Kwanza ni upotofu wa maadili ya jamii yetu ya kisasa.
Na kuto jitambua kwa Mwalimu husika
Upo sahihi kabisa mkuu. Hapa solution ya kuokoa watoto wetu ni kufuta huu upuuzi wa viboko tu maana ni utumwa na hauna athari chanya bali hasi.

Wabunge ama mawaziri wapeleke muswada bungeni kuokoa maisha ya watoto vinginevyo watoto wataendelea kunyanyasika na walimu mwisho wa siku mtoto anapoteza maisha na ndoto zake zinakufa.
 
Upo sahihi kabisa mkuu. Hapa solution ya kuokoa watoto wetu ni kufuta huu upuuzi wa viboko tu maana ni utumwa na hauna athari chanya bali hasi.

Wabunge ama mawaziri wapeleke muswada bungeni kuokoa maisha ya watoto vinginevyo watoto wataendelea kunyanyasika na walimu mwisho wa siku mtoto anapoteza maisha na ndoto zake zinakufa.
Kazi mojawapo ya Mwalimu hasa wa Msingi ni kumshawishi na kumhamasidha mtoto apende shule na masomo kiujumla wake.

Tunaona kwenye Clips yule Mwalimu anayecheza na watoto wadogo wa Msingi.

Matokeo yake mtoto anampenda Mwalimu, anapenda somo lake na anapenda kuhudhuria shule na masomo husika.

Na mwisho anafaulu masomo yake vizuri.

Kama nchi za wenzetu zilizoendelea wametafakari na kufuta adhabu ya viboko kwa watoto na wanafanya vizuri kielimu kupita sisi.
Kwani sisi tunashindwa wapi?

Kwanini hatuendi kutafiti wenzetu wametumia mbinu gani kufanikisha hili.

Kuruhusu viboko ni kutoa mwanya kwa walimu katili na huenda wengine wana vimelea vya ugaidi kuumiza na hata kuuwa watoto wetu bila sababu.

Zaidi ni kumkimbiza mtoto kwenye njia za mafunzo na kuzaa Taifa la wajinga.

Naomba niulize swali.

Viboko vinamsaidia nini mtoto wa shule ya msingi?
 
Imetolewa taarifa hapa Jf hoja mchanganyiko na anayejitambulisha kama Anonymous kuwa: mtajwa hapo juu sikumsikiliza alipokuja mara ya pili kwamba amekwama kwenye mfumo wa huduma dawati la jinsia.

Kwanza napongeza watoa taarifa za kijamii pale penye changamoto za kijamii ambazo, zimekwama hatua moja au nyingine na jamii inahitaji msaada.

HATA HIVYO, naomba kuweka taarifa ya ufafanuzi kuwa, sijawahi kuongea na mlalamikaji kwa simu na wala huwa situmii huduma ya kuongea kwa simu kwa yeyote yule bali huduma ya kuandika ujumbe Ili nibaki na kumbukumbu na ndiyo nilitangaza hivyo.

Nimemuomba mlalamikaji hizo namba ambazo alizipigia baada ya yeye kukanusha pia kuwa hakuongea na mimi, tangu asubuhi hadi sasa jioni nasubiri. Uzuri Nina Imani mifumo ya simu za kuongea inatunza kumbukumbu, hivyo sitarajii nikanushe halafu kumbukumbu ziseme niliongea naye.

Huenda aliongea na namba za call center au namba za madawati ya Jinsia eneo husika, ambapo, tangu asubuhi nimeomba anitumie kumbukumbu husika, bado hajanipatia.

Aidha, kwa taarifa zaidi kuhusu shauri hili ni namba
MOS/IR/1950/2024 KIFO CHA MASHAKA ambapo, Watuhumiwa 5 wamekamatwa na Polisi kwa mahojiano (taarifa ya Polisi imeambatishwa hapa chini kwa rejea sn 3).

WITO WANGU; Watoa taarifa za jamii pamoja na pongezi kwa kazi kubwa mnayofanya, vema muwe mnachukua taarifa pande zote siyo moja (strike a balance). Vinginevyo tutayumbisha mshikamano wa pamoja katika kupambana na matukio haya.

Ahsanteni sana, mbarikiwe wote, Kila mmoja kwa kadri alivyochangia.View attachment 2935559View attachment 2935560

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Shukrani Mheshimiwa kwa ufafanuzi maana hii taarifa inasikitisha sana. Nina imani uchunguzi utafanywa na waliohusika ikithibitika pasi na shaka watachukuliwa hatua.
 
Samahani Mheshimiwa Waziri, hivi ni kweli nyinyi kama watunga sera na sheria mnashindwa kupeleka muswada Bungeni ama hata hoja binafsi ya kuondoa adhabu za viboko mashuleni?

Tumekuwa tukishuhudia adhabu za walimu kwa wanafunzi tena wadogo kiumri hadi kupelekea vifo, majeraha ama ulemavu wa kudumu.

Kiukweli inashangaza mno kuona tukishughulika na matokeo mabaya badala ya kuangalia njia za kuzuia. Prevention is better than cure.

Watoto wanateseka mno mashuleni hadi kufikia kuchukia shule kwasababu ya ukatili wa adhabu zisizofuata muongozo.

Tafadhali Mheshimiwa wananchi wengi wana imani sana hasa kwako binafsi unafanya kazi kwa bidii na uwazi hivyo liangalieni hili kuzuia majeraha, ulemavu wa kudumu ama vifo kwa watoto.

Panaweza pakawa na adhabu mbadala kama kumtoza mzazi faini pale ambapo mtoto atakiuka kanuni, taratibu na sheria za shule ila sio hizi adhabu za kinyama.

Tutoke huku dunia ya leo sio ya kuendekeza utumwa kwa kutumia viboko kuadhibu Mheshimiwa Waziri.
Ahsante kwa maoni, a challenge, nimepokea.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Aisee,sijawahi kuwa na imani na kiongozi yeyote wa serikali, ila wewe unanipa matumaini,kuwa kuna wachache wema waliobaki, Mungu wa mbinguni akupe uzima Mama,akuongezee hekima na akukomaze katika Uthubutu, inaonyesha huna makandokando ndiyo maana una ujasiri wa kusimama mbele ya wana JF wote na ukaongea kwa kujiamini kabisa,barikiwa sana.
Tuendelee kushirikiana kwa maendeleo na ustawi wa jamii.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Shukrani Mheshimiwa kwa ufafanuzi maana hii taarifa inasikitisha sana. Nina imani uchunguzi utafanywa na waliohusika ikithibitika pasi na shaka watachukuliwa hatua.
Pamoja na mimi kutuhumiwa kwa uongo, bado nafuatilia kwa karibu kinachoendelea mkoani. Taarifa itakuja kutoka ngazi ya mkoa, nami nitakuja niseme neno kwa nafasi yangu wakati ukifika. Napenda kuvuta subira Ili taratibu stahiki zote zikamilike. Tuvumiliane wapendwa katika

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Imetolewa taarifa hapa Jf hoja mchanganyiko na anayejitambulisha kama Anonymous kuwa: mtajwa hapo juu sikumsikiliza alipokuja mara ya pili kwamba amekwama kwenye mfumo wa huduma dawati la jinsia.

Kwanza napongeza watoa taarifa za kijamii pale penye changamoto za kijamii ambazo, zimekwama hatua moja au nyingine na jamii inahitaji msaada.

HATA HIVYO, naomba kuweka taarifa ya ufafanuzi kuwa, sijawahi kuongea na mlalamikaji kwa simu na wala huwa situmii huduma ya kuongea kwa simu kwa yeyote yule bali huduma ya kuandika ujumbe Ili nibaki na kumbukumbu na ndiyo nilitangaza hivyo.

Nimemuomba mlalamikaji hizo namba ambazo alizipigia baada ya yeye kukanusha pia kuwa hakuongea na mimi, tangu asubuhi hadi sasa jioni nasubiri. Uzuri Nina Imani mifumo ya simu za kuongea inatunza kumbukumbu, hivyo sitarajii nikanushe halafu kumbukumbu ziseme niliongea naye.

Huenda aliongea na namba za call center au namba za madawati ya Jinsia eneo husika, ambapo, tangu asubuhi nimeomba anitumie kumbukumbu husika, bado hajanipatia.

Aidha, kwa taarifa zaidi kuhusu shauri hili ni namba
MOS/IR/1950/2024 KIFO CHA MASHAKA ambapo, Watuhumiwa 5 wamekamatwa na Polisi kwa mahojiano (taarifa ya Polisi imeambatishwa hapa chini kwa rejea sn 3).

WITO WANGU; Watoa taarifa za jamii pamoja na pongezi kwa kazi kubwa mnayofanya, vema muwe mnachukua taarifa pande zote siyo moja (strike a balance). Vinginevyo tutayumbisha mshikamano wa pamoja katika kupambana na matukio haya.

Ahsanteni sana, mbarikiwe wote, Kila mmoja kwa kadri alivyochangia.View attachment 2935559View attachment 2935560

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Yani wewe hata siku li chama lako litaanguka nitamsihi MH RAIS hayakua TUNDU ANTIPAS MNGWAI LISU AKUKUMBUKE
 
Imetolewa taarifa hapa Jf hoja mchanganyiko na anayejitambulisha kama Anonymous kuwa: mtajwa hapo juu sikumsikiliza alipokuja mara ya pili kwamba amekwama kwenye mfumo wa huduma dawati la jinsia.

Kwanza napongeza watoa taarifa za kijamii pale penye changamoto za kijamii ambazo, zimekwama hatua moja au nyingine na jamii inahitaji msaada.

HATA HIVYO, naomba kuweka taarifa ya ufafanuzi kuwa, sijawahi kuongea na mlalamikaji kwa simu na wala huwa situmii huduma ya kuongea kwa simu kwa yeyote yule bali huduma ya kuandika ujumbe Ili nibaki na kumbukumbu na ndiyo nilitangaza hivyo.

Nimemuomba mlalamikaji hizo namba ambazo alizipigia baada ya yeye kukanusha pia kuwa hakuongea na mimi, tangu asubuhi hadi sasa jioni nasubiri. Uzuri Nina Imani mifumo ya simu za kuongea inatunza kumbukumbu, hivyo sitarajii nikanushe halafu kumbukumbu ziseme niliongea naye.

Huenda aliongea na namba za call center au namba za madawati ya Jinsia eneo husika, ambapo, tangu asubuhi nimeomba anitumie kumbukumbu husika, bado hajanipatia.

Aidha, kwa taarifa zaidi kuhusu shauri hili ni namba
MOS/IR/1950/2024 KIFO CHA MASHAKA ambapo, Watuhumiwa 5 wamekamatwa na Polisi kwa mahojiano (taarifa ya Polisi imeambatishwa hapa chini kwa rejea sn 3).

WITO WANGU; Watoa taarifa za jamii pamoja na pongezi kwa kazi kubwa mnayofanya, vema muwe mnachukua taarifa pande zote siyo moja (strike a balance). Vinginevyo tutayumbisha mshikamano wa pamoja katika kupambana na matukio haya.

Ahsanteni sana, mbarikiwe wote, Kila mmoja kwa kadri alivyochangia.View attachment 2935559View attachment 2935560

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Mheshimiwa shikamoo?,,
Njee ya mada kidogo samahani ,

Najua unapenda ustawi wa jamii yetu kwa nyanja zote , Najua unapenda usawa na haki ,

Mwambie Mama kamari inamaliza vijana na wazee huenda tukaja kuwa na taifa lenye shida kubwa ya afya ya akili kutokana na michezo ya bahati nasibu hii iliyo shamiri kila kona na kutangazwa kila kituo cha habari ,

Tusiangalie mapato tu, mustakabali wa ustawi wa jamii uangaliwe zaidi ,

Hawa wachina wenye utitiri wa mashine za kuchezesha kamari wafukuzwe ,huu sio uwekezaji hata mtoto mdogo anajua hilo , wajenge viwanda ,vijana wapate ajira ,serekali nayo itapata mapato yake . Kama hawawezi waondoke hapa inchini na mashine zao wakachezeshe kamari huko kwao China.

Ustawi wa jamii ni mhimu kuliko kodi , kwanza tunarasilimali nyingi ni aibu kutumia kamari kama chanzo cha mapato hapa inchini.
 
Pamoja na mimi kutuhumiwa kwa uongo, bado nafuatilia kwa karibu kinachoendelea mkoani. Taarifa itakuja kutoka ngazi ya mkoa, nami nitakuja niseme neno kwa nafasi yangu wakati ukifika. Napenda kuvuta subira Ili taratibu stahiki zote zikamilike. Tuvumiliane wapendwa katika

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Mamake eeh pole na kazi dear kiongozi wetu
Sasa bwana me nina issue tofauti
Kuna swala la kutoga masikio watoto wa kike huku mitaani
Kuna vijana wanapita na vimashine vyao wanatoga vichanga yaani vitoto hata cha mwezi kwa bei ya elfu moja elfu mbili hadi elfu tatu.
Chamgamoto zinatokea kwa watoto wengi na hakuna wa kulaumiwa .
Kama unavojua wanawake tunapenda watoto wetu wapendeze hebu tunaomba serikali isimamie hili swala .wawe na utambulisho maalumu .kwanza warasimishwe maana serikali inapoteza mapato si unajua watoto ni wengi.? Au wapewe desk siku za clinic ili serikali ipate mapato
Hii picha ni ya tanzania muheshimiwaView attachment 2936333
 
Dkt. Gwajima D
Asante kwa mrejesho tunaomba wataalam wetu waendelee na uchunguzi na tukubaliane na matokeo.

Maamuzi yasifanyike kwa mihemuko.

Wito: viongozi wengine hasa mawaziri wanatakiwa kuiga mfano wako. Hapa Jf.

Sijui wanachokiogopa nini? Na kwa sababu gani?

Fikisha wito huu kwenye vikao vyenu vya kiutendaji. Tunahitaji wawajibike kwa wananchi maana wananchi ndiyo wenye changamoto.

Tuwaone kama wewe hapa Jf.
Wewe ni Mwanamke wa shoka, nakukubali unavyojikubali katika kazi yako.

Mungu akupe maisha marefu mama yetu
 
Mamake eeh pole na kazi dear kiongozi wetu
Sasa bwana me nina issue tofauti
Kuna swala la kutoga masikio watoto wa kike huku mitaani
Kuna vijana wanapita na vimashine vyao wanatoga vichanga yaani vitoto hata cha mwezi kwa bei ya elfu moja elfu mbili hadi elfu tatu.
Chamgamoto zinatokea kwa watoto wengi na hakuna wa kulaumiwa .
Kama unavojua wanawake tunapenda watoto wetu wapendeze hebu tunaomba serikali isimamie hili swala .wawe na utambulisho maalumu .kwanza warasimishwe maana serikali inapoteza mapato si unajua watoto ni wengi.? Au wapewe desk siku za clinic ili serikali ipate mapato
Hii picha ni ya tanzania muheshimiwaView attachment 2936333
Mnathibitishaje usalama wa vifaa wanavyotogewa watoto wenu!
Mambo mengine kina mama muwe responsible siyo mnawaza tu urembo.
 
Imetolewa taarifa hapa Jf hoja mchanganyiko na anayejitambulisha kama Anonymous kuwa: mtajwa hapo juu sikumsikiliza alipokuja mara ya pili kwamba amekwama kwenye mfumo wa huduma dawati la jinsia.

Kwanza napongeza watoa taarifa za kijamii pale penye changamoto za kijamii ambazo, zimekwama hatua moja au nyingine na jamii inahitaji msaada.

HATA HIVYO, naomba kuweka taarifa ya ufafanuzi kuwa, sijawahi kuongea na mlalamikaji kwa simu na wala huwa situmii huduma ya kuongea kwa simu kwa yeyote yule bali huduma ya kuandika ujumbe Ili nibaki na kumbukumbu na ndiyo nilitangaza hivyo.

Nimemuomba mlalamikaji hizo namba ambazo alizipigia baada ya yeye kukanusha pia kuwa hakuongea na mimi, tangu asubuhi hadi sasa jioni nasubiri. Uzuri Nina Imani mifumo ya simu za kuongea inatunza kumbukumbu, hivyo sitarajii nikanushe halafu kumbukumbu ziseme niliongea naye.

Huenda aliongea na namba za call center au namba za madawati ya Jinsia eneo husika, ambapo, tangu asubuhi nimeomba anitumie kumbukumbu husika, bado hajanipatia.

Aidha, kwa taarifa zaidi kuhusu shauri hili ni namba
MOS/IR/1950/2024 KIFO CHA MASHAKA ambapo, Watuhumiwa 5 wamekamatwa na Polisi kwa mahojiano (taarifa ya Polisi imeambatishwa hapa chini kwa rejea sn 3).

WITO WANGU; Watoa taarifa za jamii pamoja na pongezi kwa kazi kubwa mnayofanya, vema muwe mnachukua taarifa pande zote siyo moja (strike a balance). Vinginevyo tutayumbisha mshikamano wa pamoja katika kupambana na matukio haya.

Ahsanteni sana, mbarikiwe wote, Kila mmoja kwa kadri alivyochangia.View attachment 2935559View attachment 2935560

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Salute
 
Pamoja na mimi kutuhumiwa kwa uongo, bado nafuatilia kwa karibu kinachoendelea mkoani. Taarifa itakuja kutoka ngazi ya mkoa, nami nitakuja niseme neno kwa nafasi yangu wakati ukifika. Napenda kuvuta subira Ili taratibu stahiki zote zikamilike. Tuvumiliane wapendwa katika

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Kazi yako ni njema.
Namtukuza Mungu kwa ajili yako!
 
Back
Top Bottom