BUDANOV
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 2,846
- 4,333
Za shahada za hapa na pale uchawa na kununua vijana mtandaoni wamtetee anapofanya mablunder hajitambui kabisa yule tichaLabda tukitengeneza wizara ya uigizaji /maigizo ndio Ummy atafit yule uwezo wake ni mdogo sana sijui hata zile shahada alizipataje!
In short is not a ministerial figure.