Madada poa wanavyoongezeka Ubungo Riverside

Madada poa wanavyoongezeka Ubungo Riverside

Hamna malaya anayetoka hosteli za mabibo anakaa riverside kujiuza. Huyo dereva bajaji kakudanganya.
Wale mabinti wa riverside wengi maajuza tu.
Alafu kingine boss. Hizi vitu zingine achana nazo. Katetee mkoa uliotoka nako malaya wanazidi kuongezeka. Kasaidie dada zako kule. Hawa wa dar es salaam ni wetu. Ndio maisha yetu. Tuachie dada zetu.
 
Pamoja na yoooote


Wakubwa hii kamba ngumu! Huyo anaejiuza utakuta ana mpenzi wake anaepiga kavu, mpenzi wake nae ana demu wake anaepiga kavu, demu wake nae ana bwana ake anaepigwa kavu kmmmmk ngoma inaenda inazunguka tu
 
Mko vizuri wakuu, binafsi kununua hapana, sisemi never ila kwa sasa hapana.
Kwanza hii ni tabia mbaya zaidi ya ulevi, ukiianza huwezi acha, shida ni wanaume wameumbwa kutest pulling za mashine 😁😁😁
 
Pamoja na yoooote


Wakubwa hii kamba ngumu! Huyo anaejiuza utakuta ana mpenzi wake anaepiga kavu, mpenzi wake nae ana demu wake anaepiga kavu, demu wake nae ana bwana ake anaepigwa kavu kmmmmk ngoma inaenda inazunguka tu
Safi kabisa wacha tufe wengi bwana ya nini tufe wachache🤣🤣🤣🤣🤣
Kifo hakikosi sababu....ngoma nayo ni sababu.
 
Hamna malaya anayetoka hosteli za mabibo anakaa riverside kujiuza. Huyo dereva bajaji kakudanganya.
Wale mabinti wa riverside wengi maajuza tu.
Alafu kingine boss. Hizi vitu zingine achana nazo. Katetee mkoa uliotoka nako malaya wanazidi kuongezeka. Kasaidie dada zako kule. Hawa wa dar es salaam ni wetu. Ndio maisha yetu. Tuachie dada zetu.
Mimi nipo riverside miaka yote hakuna mwanafunzi mwenye ubavu wakusimama road alafu wanafunzi wa siku izi waoga waoga kutoka mkoani uko hawez kujianika wanaogopa wenzao ila wana style yao hao wa road ni maajuza yanatoka sehem mbali mbali
 
Mimi nipo riverside miaka yote hakuna mwanafunzi mwenye ubavu wakusimama road alafu wanafunzi wa siku izi waoga waoga kutoka mkoani uko hawez kujianika wanaogopa wenzao ila wana style yao hao wa road ni maajuza yanatoka sehem mbali mbali
Atuachie dada zetu huyu bwana
 
Pamoja na yoooote


Wakubwa hii kamba ngumu! Huyo anaejiuza utakuta ana mpenzi wake anaepiga kavu, mpenzi wake nae ana demu wake anaepiga kavu, demu wake nae ana bwana ake anaepigwa kavu kmmmmk ngoma inaenda inazunguka tu
Malaya huwa wanatembea na PEP kwenye mikoba yao hawapo kizembe kama wengi wanavyofikilia
 
Hamna malaya anayetoka hosteli za mabibo anakaa riverside kujiuza. Huyo dereva bajaji kakudanganya.
Wale mabinti wa riverside wengi maajuza tu.
Alafu kingine boss. Hizi vitu zingine achana nazo. Katetee mkoa uliotoka nako malaya wanazidi kuongezeka. Kasaidie dada zako kule. Hawa wa dar es salaam ni wetu. Ndio maisha yetu. Tuachie dada zetu.
Hahah
 
Back
Top Bottom