Madada poa a.k.a Watoa huduma za dharura

Madada poa a.k.a Watoa huduma za dharura

wapongeze tu kwa huduma zao mwisho tukutafutie sanduku futi sita....kondoo wa bwana wanapotea tu ehh mungu tusaidie....
 
Habari hapa Jukwaani,

Leo natoa pongezi kwa madada poa, kwangu nawatambua kama "watoa huduma za dharura".

+Kutokana na wanawake wengi kujihusisha na shughuli za kiuchumi, penzi linapatikana zaidi siku za Weekend. Hivyo unapitia kwa hawa kinadada unapunguza wakati unaisuniria weekend.

+Ni msaada mkubwa kwa madomo zege vijana na wazee ambao wanakabiliwa na tatizo la kushindwa kusema, hapa wanapata huduma bila kikwazo.


+Huduma isiyo na usumbufu haina kutoa appointment, haina leo nimebanwa tufanya kesho mkilimalizana kila mmoja anachukua time zake.

+Ni huduma inayopimika unataka dk 10, 20 na hata siku nzima sio mchepuko unataka ukae nae siku nzima wakati una mambo mengi ya kufanya.

Hizo ni baadhi tu.

Nawalaani wote wanaowapa majina mabaya na ya kudhalilisha.
hawa jamaa.. juzi nilikuwa morogoro pale msavu teminal hadi 1500-6000 unakula papuchi, mini kabang 10,000. inasikitisha kuona tunda la ndoa linapigwa mnada ila.. ndo maisha.
 
hivi kwani kuna madada poa na wasio madada poa? mimi naona wote dada poa tofauti wengine wanafanya kazi mchana bila vituo maalumu na wengine wanafanyakazi usiku kwenye vituo maalumu.
yah asilimia kubwa asa hv ya totoz kama ukiwa na hela yako unawala tuu..hasa hasa totoz za chuo akija mmoja anakuja na wenzake na wote unaweza ukawala hata kwa threesome😛
 
Hata ushoga ulianza hiv hiv taratibu unapigiwa kampeni na hatimaye ukaanza kutetewa sana.
Haya mambo yalifanyika kwa siri sana kipind cha nyumba lkn sasa nayo yameharalishwa tena wengine wanasema walipe kod kbs kuongeza pato la taifa. Na vituo wameshajenga kbs kwa kwa ajili ya kutoa huduma hii ya ngono tena wengine wanafurahia kbs min kabang.
Hadi michepuko siku hiz wamehararisha kbs ni ruksa kbsa kwa wengine.
Ngoja tuone tunakoelekea
tutakuja kusikia kutembea uchi ni ruksa kbsa
 
Ctarudia tena kulala na dada poa, nimeamua kumtunzia mke wangu ambae nitakuja kumuoa. Nyie kuleni tu
 
Habari hapa Jukwaani,

Leo natoa pongezi kwa madada poa, kwangu nawatambua kama "watoa huduma za dharura".

+Kutokana na wanawake wengi kujihusisha na shughuli za kiuchumi, penzi linapatikana zaidi siku za Weekend. Hivyo unapitia kwa hawa kinadada unapunguza wakati unaisuniria weekend.

+Ni msaada mkubwa kwa madomo zege vijana na wazee ambao wanakabiliwa na tatizo la kushindwa kusema, hapa wanapata huduma bila kikwazo.


+Huduma isiyo na usumbufu haina kutoa appointment, haina leo nimebanwa tufanya kesho mkilimalizana kila mmoja anachukua time zake.

+Ni huduma inayopimika unataka dk 10, 20 na hata siku nzima sio mchepuko unataka ukae nae siku nzima wakati una mambo mengi ya kufanya.

Hizo ni baadhi tu.

Nawalaani wote wanaowapa majina mabaya na ya kudhalilisha.
Mrudie muumba wako
 
Haya taja vituo wanapopatiksna dada poa wazuri hapa Dar
 
Back
Top Bottom