Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,602
- 5,808
Habari hapa Jukwaani,
Leo natoa pongezi kwa madada poa, kwangu nawatambua kama "watoa huduma za dharura".
+Kutokana na wanawake wengi kujihusisha na shughuli za kiuchumi, penzi linapatikana zaidi siku za Weekend. Hivyo unapitia kwa hawa kinadada unapunguza wakati unaisuniria weekend.
+Ni msaada mkubwa kwa madomo zege vijana na wazee ambao wanakabiliwa na tatizo la kushindwa kusema, hapa wanapata huduma bila kikwazo.
+Huduma isiyo na usumbufu haina kutoa appointment, haina leo nimebanwa tufanya kesho mkilimalizana kila mmoja anachukua time zake.
+Ni huduma inayopimika unataka dk 10, 20 na hata siku nzima sio mchepuko unataka ukae nae siku nzima wakati una mambo mengi ya kufanya.
Hizo ni baadhi tu.
Nawalaani wote wanaowapa majina mabaya na ya kudhalilisha.
Leo natoa pongezi kwa madada poa, kwangu nawatambua kama "watoa huduma za dharura".
+Kutokana na wanawake wengi kujihusisha na shughuli za kiuchumi, penzi linapatikana zaidi siku za Weekend. Hivyo unapitia kwa hawa kinadada unapunguza wakati unaisuniria weekend.
+Ni msaada mkubwa kwa madomo zege vijana na wazee ambao wanakabiliwa na tatizo la kushindwa kusema, hapa wanapata huduma bila kikwazo.
+Huduma isiyo na usumbufu haina kutoa appointment, haina leo nimebanwa tufanya kesho mkilimalizana kila mmoja anachukua time zake.
+Ni huduma inayopimika unataka dk 10, 20 na hata siku nzima sio mchepuko unataka ukae nae siku nzima wakati una mambo mengi ya kufanya.
Hizo ni baadhi tu.
Nawalaani wote wanaowapa majina mabaya na ya kudhalilisha.