Watoa Huduma za Intaneti watulipe fidia kwa kutukosesha huduma

Gemini AI

New Member
May 8, 2024
2
3
Tunakaribia Siku ya 4 hatuna huduma nzuri ya Intaneti na cha ajabu ni kwamba hadi leo Watoa Huduma wanatoa taarifa tu badala ya kuzungumzia kutulipa fidia ya hasara waliyotusababishia pamoja na usumbufu tunaopata kwa kukosa huduma kwa mujibu wa makubaliano kati ya Mtoa Huduma na Mteja

Pia, nashangaa hadi leo TCRA wako kimya badala ya kuagiza Watoa Huduma kuanza mchakato wa kuwacompensate wateja wakati Sheria za Huduma ziko wazi kabisa kwamba ikitokea Mtoa huduma ameshindwa kutoa huduma kwa siku mbili anatakiwa kulipa Fidia ya Fedha au kulipa huduma iliyokosekana kwa muda wote tena kwa kiwango bora.

Mimi nawakumbusha tu ndugu zangu tusikae kimya kwenye hili. Hii ni haki ya msingi kabisa ya Binadamu inakiukwa na tunaweza kuwashtaki Watoa Huduma. Haijalishi wamepata shida gani hilo sio shida zetu kujua kwasababu mwisho wa siku huduma hatupewi bure tunailipia.

Kama unataka kujua zaidi kuhusu unavyoweza kudai haki zako soma hapa chini

Here are some customer rights for internet services when there is no internet connection:

Compensation

If your service doesn't start on the agreed date or an engineer appointment is missed, your provider will automatically pay compensation. If your service stops working and isn't fixed within two working days, you'll automatically receive compensation.
Compensation is usually a bill credit, but your provider may offer something of equal or greater value.

Contract cancellation

If your provider can't fix a problem, you can cancel your contract without paying a fee and switch to a new provider.

Payment reduction

If your internet connection doesn't meet the performance agreed to in your contract, you can reduce your monthly payment or terminate your contract.

Complaints

If you've contacted your internet service provider (ISP) and can't get a resolution, you can file a complaint with the FCC or TCRA.
 
Tunakaribia Siku ya 4 hatuna huduma nzuri ya Intaneti na cha ajabu ni kwamba hadi leo Watoa Huduma wanatoa taarifa tu badala ya kuzungumzia kutulipa fidia ya hasara waliyotusababishia pamoja na usumbufu tunaopata kwa kukosa huduma kwa mujibu wa makubaliano kati ya Mtoa Huduma na Mteja

Pia, nashangaa hadi leo TCRA wako kimya badala ya kuagiza Watoa Huduma kuanza mchakato wa kuwacompensate wateja wakati Sheria za Huduma ziko wazi kabisa kwamba ikitokea Mtoa huduma ameshindwa kutoa huduma kwa siku mbili anatakiwa kulipa Fidia ya Fedha au kulipa huduma iliyokosekana kwa muda wote tena kwa kiwango bora.

Mimi nawakumbusha tu ndugu zangu tusikae kimya kwenye hili. Hii ni haki ya msingi kabisa ya Binadamu inakiukwa na tunaweza kuwashtaki Watoa Huduma. Haijalishi wamepata shida gani hilo sio shida zetu kujua kwasababu mwisho wa siku huduma hatupewi bure tunailipia.

Kama unataka kujua zaidi kuhusu unavyoweza kudai haki zako soma hapa chini

Here are some customer rights for internet services when there is no internet connection:

Compensation

If your service doesn't start on the agreed date or an engineer appointment is missed, your provider will automatically pay compensation. If your service stops working and isn't fixed within two working days, you'll automatically receive compensation.
Compensation is usually a bill credit, but your provider may offer something of equal or greater value.

Contract cancellation

If your provider can't fix a problem, you can cancel your contract without paying a fee and switch to a new provider.

Payment reduction

If your internet connection doesn't meet the performance agreed to in your contract, you can reduce your monthly payment or terminate your contract.

Complaints

If you've contacted your internet service provider (ISP) and can't get a resolution, you can file a complaint with the FCC or TCRA.
Hii nchi ngumu sanaa, sidhani hii kitu inaweza kufanyika. Wiki iliyopita kuna kiwanda cha Kutengeneza mikate-Japan waliahidi kutoa fidia kwa watumiaji wa mikate yao baada ya kukuta mabaki ya panya kwenye bidhaa yao, licha ya kuthibitisha kwamba hakujatokea tatizo lolote kiafya kwa watumiaji bado wanatoa fidia kwa watumiaji
 
Tunakaribia Siku ya 4 hatuna huduma nzuri ya Intaneti na cha ajabu ni kwamba hadi leo Watoa Huduma wanatoa taarifa tu badala ya kuzungumzia kutulipa fidia ya hasara waliyotusababishia pamoja na usumbufu tunaopata kwa kukosa huduma kwa mujibu wa makubaliano kati ya Mtoa Huduma na Mteja

Pia, nashangaa hadi leo TCRA wako kimya badala ya kuagiza Watoa Huduma kuanza mchakato wa kuwacompensate wateja wakati Sheria za Huduma ziko wazi kabisa kwamba ikitokea Mtoa huduma ameshindwa kutoa huduma kwa siku mbili anatakiwa kulipa Fidia ya Fedha au kulipa huduma iliyokosekana kwa muda wote tena kwa kiwango bora.

Mimi nawakumbusha tu ndugu zangu tusikae kimya kwenye hili. Hii ni haki ya msingi kabisa ya Binadamu inakiukwa na tunaweza kuwashtaki Watoa Huduma. Haijalishi wamepata shida gani hilo sio shida zetu kujua kwasababu mwisho wa siku huduma hatupewi bure tunailipia.

Kama unataka kujua zaidi kuhusu unavyoweza kudai haki zako soma hapa chini

Here are some customer rights for internet services when there is no internet connection:

Compensation

If your service doesn't start on the agreed date or an engineer appointment is missed, your provider will automatically pay compensation. If your service stops working and isn't fixed within two working days, you'll automatically receive compensation.
Compensation is usually a bill credit, but your provider may offer something of equal or greater value.

Contract cancellation

If your provider can't fix a problem, you can cancel your contract without paying a fee and switch to a new provider.

Payment reduction

If your internet connection doesn't meet the performance agreed to in your contract, you can reduce your monthly payment or terminate your contract.

Complaints

If you've contacted your internet service provider (ISP) and can't get a resolution, you can file a complaint with the FCC or TCRA.
 
Tunakaribia Siku ya 4 hatuna huduma nzuri ya Intaneti na cha ajabu ni kwamba hadi leo Watoa Huduma wanatoa taarifa tu badala ya kuzungumzia kutulipa fidia ya hasara waliyotusababishia pamoja na usumbufu tunaopata kwa kukosa huduma kwa mujibu wa makubaliano kati ya Mtoa Huduma na Mteja

Pia, nashangaa hadi leo TCRA wako kimya badala ya kuagiza Watoa Huduma kuanza mchakato wa kuwacompensate wateja wakati Sheria za Huduma ziko wazi kabisa kwamba ikitokea Mtoa huduma ameshindwa kutoa huduma kwa siku mbili anatakiwa kulipa Fidia ya Fedha au kulipa huduma iliyokosekana kwa muda wote tena kwa kiwango bora.

Mimi nawakumbusha tu ndugu zangu tusikae kimya kwenye hili. Hii ni haki ya msingi kabisa ya Binadamu inakiukwa na tunaweza kuwashtaki Watoa Huduma. Haijalishi wamepata shida gani hilo sio shida zetu kujua kwasababu mwisho wa siku huduma hatupewi bure tunailipia.

Kama unataka kujua zaidi kuhusu unavyoweza kudai haki zako soma hapa chini

Here are some customer rights for internet services when there is no internet connection:

Compensation

If your service doesn't start on the agreed date or an engineer appointment is missed, your provider will automatically pay compensation. If your service stops working and isn't fixed within two working days, you'll automatically receive compensation.
Compensation is usually a bill credit, but your provider may offer something of equal or greater value.

Contract cancellation

If your provider can't fix a problem, you can cancel your contract without paying a fee and switch to a new provider.

Payment reduction

If your internet connection doesn't meet the performance agreed to in your contract, you can reduce your monthly payment or terminate your contract.

Complaints

If you've contacted your internet service provider (ISP) and can't get a resolution, you can file a complaint with the FCC or TCRA.
Kwa ninavyoifahama hii nchi huduma ikikaa sawa kila mtu atapokea 10mb+50sms+minutes za kutumia ndani ya siku moja wakati kuna mtu alikuwa anabalance ya 5gb na mda wake umeisha bando limekatwa.
 
Back
Top Bottom