Mh! Pole sana Mkuu!
Embu jaribu kugogle haya maneno 'ORAL STAGE' huenda ukapata pakuanzia!
Miaka mitano mmh amechelewa sana jaman kila la kher ktk kutatua tatizo hlo
mpeleke kwa watumishi wa Mungu akafanyiwe delivarance atapona kuongea
pole kwa matatizo yaliyokupata rafiki pole sana je unaweza kuja jpili kanisani
kinondoni revival church unashukia kituo cha kanisani au wanasema kituo cha biafra
kama umetokea upande wa magomeni usivuke barabara ni upande huohuo unawauliza
madereva taski wanakuonesha na kama umetokea upande wa mwenge unavuka barabara wuliza madereva kanisa liko wapi wanakuonesha karibu pole sana jpili ni saa 1 ibada inaanza karibu sana
nashukuru kwa mawazo nitakuPM.kiukweli hilo nitatizo na dawa yake ipo mm naishi dar nimepanga sasa mother toka bush alikuja kunitembelea nilipo panga kuna mtoto nae anashindwa kuongea vizuri na nimkubwa but akiongea anaongea kama mtoto anayejifunza kuongea kwa kukosea KOSEA maneno mama yangu akamwangalia akanambia huyu mtoto anamatatizo na anatakiwa kupewa dawa.
mm nikashangaa naye akagundua kuwa mm kama nimemshangaa kwa aliyoongea akasema ndio umri huyu mtoto sio wakushindwa kuongea.
akadai kuna dawa zakienyeji anapewa ananyweshwa .
kiukweli alinitajia mpaka ugonjwa wenyewe mpaka dawa yake kwakuwa sikuwa interested nikapotezea tuuu.
Pole sana. Nakushauri angalia Emmanuel.tv au kama utakuwa na uwezo uende SCOAN, utapata deliverence ya uhakika. Nakushauri ufanye hivo