Mada Star TV: Mitandao ya kijamii ifungwe?

Mada Star TV: Mitandao ya kijamii ifungwe?

Star TV naangalia BBC usiku na kile kipindi cha Dotto Emmanuel Bulendu (kama yupo lakini) jumamosi.
Tofauti na hapo sijibughudhi kutune channel hiyo.
 
Bado zamu yao, nao ipo Siku wataomba huruma ya nchi
 
acheni undunya server ziko marekani tunabishana hapa bongo,
 
Umerukwa Na ubongo sio akili ndio maa mnaambiwa onyesheni vyeti vyenu
 
Vibalaka ndio nini wewe bakunja ...kazi kutuharibia kiswahili chetu nyie watu wa Congo mna shida sana, next time andika sawa sawa ni VIBARAKA with R not L .
sawa kiongozi asante kwa kunisahihisha. ila ujumbe umekufikia.
 
Jana nikaona baadhi ya thread watu wanasema kuwa; vyombo vya habari visusie taarifa za serikali nikajisemea kuwa kweli hawa bado hawajaelewa aina ya mdundo na ngoma inayopigwa kwa sasa.
 
Hivi ilikuaje had ukaweka star tv ? Me hata nkiwa nachagua chanel nairuka, sitakag hata kujua wanachoonesha, yan mm na makada wa lumumba hatuchangamanagi kabsa, hilo limada wajibu makada wenzao, kwanza ikifungwa mitandao wao ndo wataumia coz wanapenda kutafuta attention kwenye media
Mi dira ya dunia tu basi
 
Kwani wao ndo wametengeneza hii mitandao ... Mbona wanataka kutupangia rais kasema tusipangiane cha kufanya tupige kazi.... Wao wajadili wafanye nini star tv iwe kama cnn , bbc, sky news au aljezira wanakalia kujadili ujinga tu... Wapge kazi
 
Lbda waondoe smartphone zote ... Na komputa za aina zote...hapa tz[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Teknologia inavyozidi kuendelea mawimbi ya mwasiliano yanaendelea kuwa huria! Instagram haijasajiliwa Tanzania kwa mfano lakini watanzania wanaweza kuwasiliana kupitia instagram bila kikwazo! Na saver yake iko USA!
Labda hii ya bongo jf ndo wanaweza kuifanyia figisu figisu!
 
Back
Top Bottom