tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,896
- 19,755
Huyo mwandishi mshahara hajalipwa mda kampuni inamadeni lukuki badala wajadili mustakabali wa maisha yao wanakuja na mada za kipuuziHii ndio mada inayojadiliwa star tv muda huu katika kipindi cha "tuongee asubuhi" na iko katika mtindo wa swali.e
Kipindi ndio kinaanza hivyo mwenye kupenda kufuatilia afuatilie.
Binafsi najiuliza ni nini kiko nyuma ya mada hii au nini kimewasukuma kuja na mada ya aina ya aina hii kwakweli sielewi.