Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
poa mkuu ila unapotea sana update pls
Mdogo ake cheka kachezea kichapo cha point ktk pambano la round 6
poa mkuu ila unapotea sana update pls
Utakuja kumsaliti babako kisa yupo bongo wewe!!!tuache wanaume wazee wa mawe tupeane update wewe tafuta gagulo na sidiria ya kuvaa kesho kanisani!
Maugo na cheka ndo wapo jukwaani wakijiandaa kwa mapambano
Update
Wimbo wa taifa unapigwa watu wote wanatakiwa kusimama wengine hawataki wanapiga kelele upigwe wa mafisadi ndo wasimame maana hapa hakuna Taifa tena then round one ndo inaanza sasa keep on read
umekunywa maji ya chooni???? napata harufu namna mdomo wako unavyotoa uvundo!!!!
Round one over cheka kakimbizwa maugo kaanza na kasi sana
umekunywa maji ya chooni???? napata harufu namna mdomo wako unavyotoa uvundo!!!!
Ushafua gagulo.sidiria na bikini?hapa mawe tu habari za kishoga kawatafute wenzako hapa umekosea njia!
kubali umechemsha.... madharau
na wewe umekunywa maji ya chooni...mko wengi???
Round no. 3 cheka kadondnka mara 2
Round ya 4 maugo apelekwa puta almanusura kudondoka
Round ya 5 cheka anaendelea kupeta na masahihisho cheka ktk ile round ya 2 cheka alidondoka mara 1 na ya 2 aliteleza