Underwood
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 1,909
- 3,104
Kutana na Alexander Mkubwa, mfalme wa Macedonia aliyeanza kutawala aliwa na umri wa miaka 20 tu na kuwa mtawala wa robo tatu ya watu wote duniani alipofikisha miaka 30!
Inasemekana Julius Caesar alipojiona amefanya mambo makubwa kwa kutwaa maeneo makubwa kwa ajili ya ufalme wa Rumi akiwa na umri wa miaka 50, aliangua kilio pale alipoambiwa alexander alifanya mara 10 ya kile alichofanya akiwa na miaka 30 tu.
Anatajwa kama miongoni wa watu wenye uwezo mkubwa kivita akiwa katika kundi mojana Julius Caesar, Genghis Khan na Napoleon Bonaparte.