Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,150
- 15,603
Huyu mwamba aliiloweka mbichi pisi kali za miaka hiyo mpaka akaondoka na ngoma akiwa 58 tu.Legend Fela kuti.View attachment 1798336
Huyu mwamba aliiloweka mbichi pisi kali za miaka hiyo mpaka akaondoka na ngoma akiwa 58 tu.Legend Fela kuti.View attachment 1798336
Chaliifrancisco shukrani sana kwa maelezo mazuri,uzi mzuri sana naongeza vitu kichwani ingependeza kila anayewekwa hapa hasa hawa watawala waliofanya mapinduzi makubwa kukawa na maelezo kidogo kuwaelezea.View attachment 1798723View attachment 1798724
Julius Caesar maarufu kama Kaisari alikuwa ni mtawala wa kisiasa na kijeshi enzi za Warumi.
Anakumbukwa hasa kwa mafanikio mbalimbali yanayoonekana kuathiri dunia hadi leo.
Baadhi ya mafanikio hayo ni:
1.Kama kiongozi wa kijeshi aliteka Gallia (Ufaransa) na kuifanya jimbo la Kiroma. Kutokana na hiyo lugha ya Kifaransa na lugha nyingi kama Kireno, Kihispanyola n.k (kwa ujumla wake huitwa Romace languages) ni lugha zenye ukaribu sana na Kilatini, lugha ya Roma ya Kale.
2.Waroma wa Kale walimheshimu kushinda viongozi wote waliomfuata au kutangulia akatangazwa kuwa mungu.
Jina lake lilipata kuwa neno kwa ajili ya cheo cha watawala wa Kiroma waliomfuata. Kutokana na badiliko hilo la jina "Caesar" kuwa cheo, lugha mbalimbali zilipokea cheo hicho kama vile Kijerumani ("Kaiser"), Kirusi ("Tsar") na Kiswahili ("Kaisari" - kutokana na neno la Kijerumani).
3. Aliunda kalenda ambayo imekuwa msingi wa kalenda ya kimataifa leo (Kalenda ya Juliasi). Kwa heshima yake, mwezi wa saba unaitwa Julai.
4.Katika historia ya Roma yee ndie aliepelekea kufa kwa Jamhuri ya Roma (Roman Republic) na kuzaliwa Dola la Roma (Roman Empire) aliloliwekea misingi na lililotawala sehemu kubwa ya bara la Ulaya na Asia kwa miongo mingi.
Moja ya misemo (quotes) maarufu ya Kaisari ni pamoja na "Veni, Vidi, Vici" kwa Kiingereza "I came, I saw, I concured" kiswahili "Nilikuja, Nikaona, Nikashinda" huu msemo aliutumia katika ripoti yake ya vita baada ya kushinda vita iliyomchukua muda mfupi dhidi ya Pharnaces II wa Pontus.
Alikuwa na miwaya lakini kipigo cha polisi kilichangia umauti kwani alikuwa mtata sana.Huyu mwamba aliiloweka mbichi pisi kali za miaka hiyo mpaka akaondoka na ngoma akiwa 58 tu.
Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
HahahMtemakuni
View attachment 1795429
Picha ya kudhaniwa na ya kuchora ya mfalme sedekia wa Yuda.
Huyu ndie aliekuwa mfalme wa mwisho wa taifa la Israel ambaye alisabisha taifa hilo kuvamiwa na kuharibiwa mji wa yerusalem.
Mji uliangamizwa kabisa, watoto wa mfalme huyo waliuwawa wote .
Ni moja ya watawala waliowahi kupitia nyakati ngumu kuliko wote kabla ya kuondoka kwenye uso wa dunia.View attachment 2500663View attachment 2500665
Bomu lake lilitegeshwa na simu yake ya blackberry (kwa wale wanaoikumbuka hii simu).2007 aliuwa kwa kupigwa risasi 2 na bomu juu ! Kufa kwake kuliambatana na watu 30
Ni kweli.Bomu lake lilitegeshwa na simu yake ya blackberry (kwa wale wanaoikumbuka hii simu).
Alipigiwa akiwa kwenye hadhara na alipopokea tu kumbe ndiyo ilikuwa trigger ya bomu.
Pia ikumbukwe kwamba huko kubadili dini kuliambatana na kukaa darasani kusoma mafundisho kama wanavyo soma sasa wale wanaotaka kuingia ukatoliki, huwa wanaitwa wakatakumeni.View attachment 2501821
Hii ni sanamu ya mfalme wa dola ya Rumi Constantine. Constantine anashikilia mfalme wa kwanza wa Rumi kubadili dini na kuwa Mkristo, pia Constantine aliufanya ukristo kuwa dini rasmi ya dola ya Rumi.
Mfalme Constantine ndiye muasisi wa miongoni mwa miji maarufu ya kale, mji wa Constantinople.
Hakika, huyu ndugu ulimwengu wa soka hauta msahau kwa miaka ya hivi karibuni.View attachment 2501834
Pichani ni Lionel Messi mchezaji bora wa muda wote kwenye mchezo wa mpira wa miguu. Mwaka 2022 ulikuwa mwaka mzuri sana kwa Messi kwani alifanikiwa kutimiza ndoto yake ya tangu utotoni, kushinda kombe la dunia akiwa na timu yake ya taifa ya Argentina.
Ijapokuwa masuali yako ni ya zamani kidogo lakini enzi za DB Cooper hakukuwa na security issues kusafiri na ndege.akini pia ina, mashaka yake, 1-jamaa aliiteka ndege sababu ya njaa ya pesa?
2-bomu alilobeba, lilikuwa la kazi gani kama lilikuwa sio la kulipuliwa.
3-alipitaje na bomb bila kuwa dictated pale airport, pamoja na kuwa kuna scans imara.
4-Ndege aliyoiteka inasemekana huwa inatumika sana sana na watu wa security wa ndani ya serikali, ilikuwaje mtu yeyote ku book ticket ya ndege hiyo bila kuwa checked vizuri ni nani hata kama shirika la ndege ni public.