Yani k vant ukinywa ladha na harufu zinabadilika kila siku pia kiwango cha alcohol hakifanani. Feki zimejaa madukani watu wanapiga hela za kisenge wananchi tunaumia na serikali ipo na mwenye kampuni hatujui anachukua hatua ganiHatare Kweli na zinauzwa bei cheeeee Ina wanaonunua na kuuza wanaamua kutuua kwa bei ya mauaji na ni sumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani k vant ukinywa ladha na harufu zinabadilika kila siku pia kiwango cha alcohol hakifanani. Feki zimejaa madukani watu wanapiga hela za kisenge wananchi tunaumia na serikali ipo na mwenye kampuni hatujui anachukua hatua gani
Hizi mara nyingi ni dili za mameneja wamiliki hata hawajui mpaka wawe makini sanaHatare Kweli na zinauzwa bei cheeeee Ina wanaonunua na kuuza wanaamua kutuua kwa bei ya mauaji na ni sumu
Sent using Jamii Forums mobile app
tunywe bia tuuuuKila nkiwaza K vant na moet za ao wachina wa burun network inazd kukata
Sure mkuu hii kitu ni balaaMixer nzuri tamu sana ila kiafya ni hatari sana..Zote zinaongeza mapigo ya damu..hivyo unaweza kupiga show ya uhakika.. Lakini baada ya kutimia masaa 24 utajihisi uchovu wa ajabu na ukistua tena vibe linarudi kama lote
Unajuaje kama ni feki? Ufeki wake ni nn hasa? Test or what ?....Kvat ni spirit ambayo hutengenezwa Kwa njia ya distillation process ( kutengenisha baina ya maji na mvuke) ya nafaka na Kwa vile haina mature baada ya kutengenezwa haiwezi kuwa na same test and smile all the time
Mimi nimekunywa Konyagi over 20 years ...kuna balanced taste ya OG tangu unaifungua..naifahamu.. Japo sometimes nimepigwa piaUnajuaje kama ni feki? Ufeki wake ni nn hasa? Test or what ?....Kvat ni spirit ambayo hutengenezwa Kwa njia ya distillation process ( kutengenisha baina ya maji na mvuke) ya nafaka na Kwa vile haina mature baada ya kutengenezwa haiwezi kuwa na same test and smile all the time
Utafauti unatokea Kwa sababu nafaka iliyotengenezewa Jana na Leo haziwezi kuwa ziko Sawa kila kitu