Mi leo nimepumzika na kiu yanguMbona kimya sana humu ndani! Mnaomboleza?
Naona watu wanamalizia maombolezoMbona kimya sana humu ndani! Mnaomboleza?
Mzee upo RwandaUzuri huku bana ,bia 24 hrs View attachment 876544
Kweli doktaKitimoto ya kuchemsha....hamna tone la wese
Leo nipata hii karibuniView attachment 876660
Ndio mkuu umeipendaMkuu hiyo ni Radio yako?
Hahaha RafikiiiiNdio mkuu umeipenda
Hahaha Rafikiiii
Mie niwe wa kwanza, km.vipi weka mnada Hahaha, radio imehisha kuliko glassMwingine rafiki amependa radio natafuta wanunuzi fursa hiyo