Uko wapi? Njoo 4040 tabata hapa tukonge nyoyo
Asante. Niko mbezi beach mimiUko wapi? Njoo 4040 tabata hapa tukonge nyoyo
Oooh..Mie niko nefaland
Kula nchi mamaAsante. Niko mbezi beach mimi
Zikipanda unapumzika hapo hapoMie niko nefaland
#Mdomo wenye furaha ni ule wenye pombeMarafiki zako wa Ulevini Ulelewa Ulevini na hao mara nyingi ndio marafiki wa kweli ambao wanaweza kesha na wewe Central kama Nje ya Central kuna bar
Marafiki hawa wa ulevi wanaweza kesha Mochwari kwa sababu pale nje ya Hospital kuna Bar
Marafiki hawa huweza kesha kwenye msiba wako kwa sababu pale pembeni kuna Bar
Hakuna rafiki mwenye kuheshimu thamani ya Urafiki wenu kama mtu mnayekunywa naye pombe
Kama ukimpoteza rafiki mnayekunywa naye Pombe kurudi urafiki wenu ni ngumu sana Maana mara nyingi yeye siyo mnafiki
Rafiki huyu mara nyingi huwa mkweli mwepesi kujua kosa na kuomba samahani hana majivuno na Ukimtaka muda wowote atakuja
Usimdharau rafiki wa Pombe kwa sababu zozote ambazo hazina msingi na wala usikate urafiki na rafiki yako Mnywaji utakuwa umekosea for the Maximum
Rafiki huyu ni mkweli muwazi ila akificha jambo akiwa mzima atakwambia akiwa amelewa huyu ndio rafiki wa kweli kwako
USHAURI
Mtu asikudanganye kuachana na rafiki zako wanywaji maana anakuchonganisha na watu muhimu sana kwako
#Mdomo wenye furaha ni ule wenye pombe
Oooh..
Mi niko Skylight Buscar La Vida
Asante kaka yangu ila mchina hana nafasiDada Mungu kakujaalia uzuri usio wa mkopo... Mungu akubariki sana uzeeke nao.... Usijaribu kuufanyia featuring mchina
Karibu mamaHuenda nikafika..maana leo sitak kulala..nna uchovu wa safari ila must
Ndio maeneo gani hayo?Oooh..
Mi niko Skylight Buscar La Vida
MbeziNdio maeneo gani hayo?
Damn it..hili nenoIn water there is bacteria,
In wine there is love
In beer there is wisdom