Badili engine kuepuka gharama zaidi
Umepima crane shaft?
Jaribu kwanza kufanya hivyo tafadhaliHapana mkuu:
Sina uhakika sana kama kuna kitu tumepima, uhakika ni kwamba tumekua tukihangaika na belt tuu bila kutafuta tatizo linasababishwa na nn, mara nyingi hisia imekua ni belt haikua original.
Labda unipe maelezo kidogo kuhusu hio crane shaft ni kitu gani na mahusiano yake na kukata timing belt.
Kati ya laki moja mpaka 3Jamani msaada mwenye kufahamu Bei ya power steering leak ya nissan tiida ni Bei gani zinacheza
NimekupmWakuu Samahanini kidogo..
Nauza mashine za kuchanganya zege ( concrete mixer). Ni brand ya Honda , zina HP 8 kila moja na zinatumia Petrol. Ziko mbili na zimetumika nje( abroad) ziko in very good condition. Kwa mwenye uhitaji naomba ani PM.
Asanteni
ebbbbbrebvvenMshana tafadhari, nisaidie kujua ubora au mapungufu ya Toyota rumio tafadhari kabla sijanunua
Febraethan kwanini unataka kuacha injini ya nissan extrail na kutaka kuweka ya Toyota wish kwenye hiyo Nissan, nini kimetokea? injini ya extral imekuletea maudhi/kero ganiHabari wakuu. Samahani naomba kujuzwa, et inawezekana kuchukua Engine ya Toyota Wish ukaweka kwenye Nissan X Trail?
Kama inawezekana, je Ulaji wa mafuta kitaalamu inabaki kuwa wa Wish au laah?
Nakuja PM mkuu, kuhusiana na hii mada.Bado ni gari ngeni Tanzania ni mapema kufanya analysis
Nenda Karume kwa nyuma kuna garage pale wanaweza kukusaidia mie niliwahi peleka ya kwangu Ila zamani kidogoHabari wakuu,
Nina harrier matako ya nyani, Naomba msaada kujua kwa nini mara nyingi nikisha-lock milango baada ya muda kidogo inaanza kupiga alarm. Kwa kweli huwa inanikera sana na inapiga kelele kweli kweli. Sijafunga system mpya ya alarm iliyopo ni ya humo humo kwenye gari.
Ahsante sana kwa ushari nitafanya hivo.Nenda Karume kwa nyuma kuna garage pale wanaweza kukusaidia mie niliwahi peleka ya kwangu Ila zamani kidogo