Sechaba,parson na aunt tilly wapo mezani wakipata breakfast, kabla ya aunt tilly kujiunga nao mezan,sechaba aliweka whisk ili washerehekee kumaliza salama masuala ya labola,kumuona aunt tilly parson akaificha whisky. Aunt akagusia suala la kamo,lerato akalalamika tabia za kamo na kutaka asiongelewe maana ataharibu mood yake ya sherehe.
Papa g akiwa na morogwa na gabriel anamshaur gabr atumie chumba cheke kuwekea mizigo ili kuepusha purukushan na polisi,gabr hajapenda hilo wazo,papa g anauliza anaendeleaje na nikiwe,gabr anashtuka na kumwondoa morogwa kwa kisingizio awafatie bia(bidada haaminiki) baada ya morogwa kuondoka gabr anamwambia papa g kuwa nikiwe mgumu,papa g akamwambia atumie mbinu ya sympathy ili kumpata binti wa kitajiri, gabr anapenda ushaur huo
Lerato akiwa saloon anaongea na aphiwe aina ya maua ya siku ya sherehe,kamo anajibu bila kuulizwa na kushushuliwa,mara aunt tilly anaingia na kutaka kuongea na lerato,aunt anamwambia lerato kuwa wameshamtolea labola hivyo ameshakua matabane means abadilishe lide style ajiunge na kikundi cha wamama kanisani aende kanisani kila jumatano na asikose kipindi kama ma agness alivyokua na kuvaa uniform aache vinguo vifupi,lerato anasema jumatano ana wateja,aunt anamwambia hata ma agness alikua ana biashara,lerato anabaki speechless.
Nina kamuita aphiwe nyumban kwake kujua zaidi kilichotokea usiku kule duncan parking,bidada haongei ya maana zaidi ya kumlaum kamo kuwa ndie aliyesababisha yote yaliyotokea.
Aphiwe akiwa duncan kuchukua mtandio wake aliousahau siku ya tukio anakutana na brad,brad anajaribu kuongea na aphiwe kistaarabu ila bidada anakuwa mkali na kumlaumu zaidi.
Yvette anapokea simu inayomtaka eddie ila anaongea kwa niaba yake na kumtetea huku akionyesha dalili za kutokubaliana na kosa lililotokea.
Gabriel akiufanyia kazi ushauri wa papa g anaenda ofisin kwa nikiwe na kuanza utapel wake kwa kusingizia kuna watu wamevamia kwake na hajui wanatafuta nn,nikiwe bila kujua anadanganywa anajikuta anamhurumia na kumuuliza anaishi wap anamjibu anaishi nyumba duni,huku akisema labda kampen zinasababisha,nikiwe anajaa kwenye mtego kumuhaidi malazi mazuri zaidi maana wanamhitaji sana kwa kampen ya zama zama. Jamaa anatabasamu kwa ushindi
Nina akiwa duncan,papa g anatokea na kutaka kuongea nae ila nina hatak kuongelea masuala ya biashara,ana deal kwanza na suala la obakeng,wakiwa wanabishana anatokea barker,nina anamgaka papa g aondoke maana ana mazungumzo na barker,baada ya papa g kuondoka nina anamwambia barker kuwa brad aombe msamaha kwa kilichotokea la sivyo ataenda fungua kesi.
Brad akiwa na charlie kwa skhu wakipata vinywaji huku wanaongelea ishu ya aphiwe kumtetea obakeng,charlie anakuwa upande wa aphiwe akisema mapenzi ni upofu ukitokea kupenda hutaona mabaya ya mwenzi wako. Skhu anatokea na kuweka msimamo wake kuwa hamtaki obakeng awe na aphiwe.
Gabriel akiwa anajiandaa kuhama anahamia duncan kwa pesa za sibeko,huku chumba anachokihama watakitumia kuwekea mizigo yao,morogwa namkuta akifunga funga na kushangaa huku akitaka kujua nafasi yake maana anaefaid ni gabr pekee,wanabisha hapo bidada anaamua kuondoka
Lerato na familia yake wakiwa mezani,aunt tilly anakumbushia mazungumzo ya kumtaka lerato ajiunge kanisan na kuvaa uniform,sechaba na parson wanashangaa na kumtetea lerato. Parson anaaga kuwa kesho yake asubuh anaondoka,lerato anafurahi akijua na aunt nae atasepa ila aunt anasema haondoki kuna mambo anataka kuyaweka sawa
Kamo anamkuta nina duncan na kwenda kumsalimia ila nina anaishia kumlaum kamo kwa kuanzisha fujo zilizosababisha obakeng alazwe,lerato anatokea na kum taunt nina kwa kumtelekeza mtotowake tangu utoton kisha anakuja kumjali ukubwa,yanaibuka malumbano hapo mpaka brad anatokea kusuluhisha ila nae anaishia kuchambwa na lerato kuhusu style yake ya nywele
Eddie yupo hosp mara nesi anatokea na kumwambia anaweza kwwnda kumuona mgonjwa,eddie anasita kwanza kisha anaingia wodini.
Wodin obakeng anamtaka dokta asiandike kama ana tatizo kuzimia maana utotoni wwnzake walimsimanga sana na kumcheka,dokta anampa ushauri kisha kuondoka, eddie anaingia wodini,obakeng anamuuliza kama ameenda hapo kummaliza kabisa,eddie anajitetea ila obakeng hakubali na kuuliza kwann alikamatwa yeye pekee na brad akaachwa,wanalumbana hapo na obakeng anatishia kumshtaki eddie kwa yaliyomtokea.