Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

hahahaha mkuu diploma kupata mkopo mwaka huu ni miujiza inahitajika

Kuna namna unatuchukulia diploma holders kwani tofauti yetu na form six nini, sisi tumesomea kazi na wengine tuliweka nafasi ya kwanza technical college ,wote sisi ni sawa hakuna anayestahili mkopo zaidi kuliko mwingine ,huu ni utaratibu tu wakuanza na form six leavers alafu diploma holders, kwahiyo hakuna miujiza kwetu kupata mkopo na inawezekana form six leaver hakakosa na diploma holder akapata brother.
 
Taarifa rasmi kutoka kwa waziri mwenye dhamana yaani mama ndalichako........amesemakuwa wadahiliwa walioomba mwaka huu ni wanafunzi 55,000 yaani elfu hamsini na tano na si 88,000 kama mlivyotudanganya hapa.........lakini pia waliopewa mikopo kwa kukidhi vigezo ni 21,000 kama si 25,000 maana nimepoteza data kidogo.......pia taarifa kuwa wanafunzi wamepewa mikopo ya shilingi 7,000 au 80,000 kwakweli bodi wamekanusha na wamedai kuwa hiyo ilikuwa ni hitilafu na watu wasio na nia nzuri walitangaza kama taarifa rasmi kutoka bodi........
 
Jaman wakuu mi napenda kuuliza kama yupo aliepangwa udom afu kwenye profile yake hajaandikiwa not allocated ajitokeze maana karbia wadau wenzangu wote ninao wajua tuliochaguliwa udom kila kuangalia ni not allocated ko ndo nimeamua kuuliza ili nijue nisije kufa wenge bure kumbe bado tupo jikoni wana UDOM
 
Wawape tu mikopo jamani, hapa nadaiwa sijui milioni kumi au ngapi ngoja nipige hesabu
 
Kuna namna unatuchukulia diploma holders kwani tofauti yetu na form six nini, sisi tumesomea kazi na wengine tuliweka nafasi ya kwanza technical college ,wote sisi ni sawa hakuna anayestahili mkopo zaidi kuliko mwingine ,huu ni utaratibu tu wakuanza na form six leavers alafu diploma holders, kwahiyo hakuna miujiza kwetu kupata mkopo na inawezekana form six leaver hakakosa na diploma holder akapata brother.
Asante kwa maelezo yako mkuu, mimi pia ni doploma holder na usifikiri kama nasema vibaya au naleta dharau ila kiukweli mwaka huu diploma kupata mkopo miujiza inahitajika. Na kama huniamin subiria utaona, itunze hii coment yangu halafu siku ukithibitisha yale niyasemayo nitafute
 
Hakuna diploma yeyote kapata mkopo nahis diploma holder watakua kwenye 20 batch bada ya form six wote kupata zitakazobaki wanapewa diploma holder, Yan toka application diploma holder walikua wa mwisho sa iv wamesema wanagawa mkopo kwa kuangalia mtu mwenyewe diploma holder mwaka huu kupata mkopo ni ngumu
 
Taarifa rasmi kutoka kwa waziri mwenye dhamana yaani mama ndalichako........amesemakuwa wadahiliwa walioomba mwaka huu ni wanafunzi 55,000 yaani elfu hamsini na tano na si 88,000 kama mlivyotudanganya hapa.........lakini pia waliopewa mikopo kwa kukidhi vigezo ni 21,000 kama si 25,000 maana nimepoteza data kidogo.......pia taarifa kuwa wanafunzi wamepewa mikopo ya shilingi 7,000 au 80,000 kwakweli bodi wamekanusha na wamedai kuwa hiyo ilikuwa ni hitilafu na watu wasio na nia nzuri walitangaza kama taarifa rasmi kutoka bodi........

Waliyoomba ni 88,000 ambapo kati yao 55,000 ni freshers/waliyodahiliwa mwaka huu na 33,000 ni wale waliyokosa mikopo miaka ya nyuma wameomba tena, yaani wanaoingia mwaka wa pili na watatu etc, achana na wanasiasa brother,MWANANCHI wako sahihi.
 
Waliyoomba ni 88,000 ambapo kati yao 55,000 ni freshers/waliyodahiliwa mwaka huu na 33,000 ni wale waliyokosa mikopo miaka ya nyuma wameomba tena, yaani wanaoingia mwaka wa pili na watatu etc, achana na wanasiasa brother,MWANANCHI wako sahihi.
Thanks for the clarification.......
 
Hakuna diploma yeyote kapata mkopo nahis diploma holder watakua kwenye 20 batch bada ya form six wote kupata zitakazobaki wanapewa diploma holder, Yan toka application diploma holder walikua wa mwisho sa iv wamesema wanagawa mkopo kwa kuangalia mtu mwenyewe diploma holder mwaka huu kupata mkopo ni ngumu
Asante kwa kunisaidia mkuu kumuelewesha 'M-diploma SIME' nadahn sasa atakuwa ameuelewa mchezo
 
Huo ndio ukweli diploma holder wanazan wengi mmeajiriwa na uwezo wakujisomesha mnao pia wanajua wajir wenu wanapaswa kuwasomesha diploma holder waliokwisha kuripot vyuoni wanasota mana hakuna kujiregistaer kama hujui mkopo umepata kias gan au ulipe Ada nusu
 
Back
Top Bottom