Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

Heshima lazima irudi, villaza na mabweghe kama wewe taifa halitozalisha tena kwa spidi hii ya JPM.
Anza kujitambua.
Kamq product ya elimu unayoiongelea wewe ni hio inayotoa watu kama wewe wasio na courage hata ya kumkosoa mtawala wako sehemu ambayo wrong basi ni bora huo mkopo mdogo wangu asiupate na asiende shule akaharibiwa akili na kuwa kama wewe... Msomi gani usiyekuwa na vision.yani huwezi kuona mbele walau mwaka mmoja baada na bado kama taifa tuseme tuna wasomi tunaojivunia kama wewe...hopeless
 
Wakati wa mkwere
1.nchi ililkuwa inaliwa kila kona but wanafunzi wote walipata mikopo.
2.wakati wa mtukufu. Nchi hailiwi,kodi Ni trilioni kwa trillions mianya ya kumwagika pesa imefunga and yet wanafunzi wanakosa mikopo ( kumbuka Ni MKOPO sio kitu cha bure)
In short wafadhili naona wamekata kamba wanaangalia hii Ngoma ngosha akicheza mwenyewe.
Mzee kifimbo alinyanyua mikono juu sijui huyu yangu macho. Ila hii Timu inaelekea kufilisika na itashushwa daraja soon
 
"Yaani mimi ktk Serikali yangu Mwanafunzi anapangiwa chuo ana sifa zote halafu una mnyima MKOPO?"

Watu wanakumbuka KAULI HIZI"

HAKIKA MKWELE ATAENDELEA KUKUMBUKWA
 
Wakati wa mkwere
1.nchi ililkuwa inaliwa kila kona but wanafunzi wote walipata mikopo.
2.wakati wa mtukufu. Nchi hailiwi,kodi Ni trilioni kwa trillions mianya ya kumwagika pesa imefunga and yet wanafunzi wanakosa mikopo ( kumbuka Ni MKOPO sio kitu cha bure)
In short wafadhili naona wamekata kamba wanaangalia hii Ngoma ngosha akicheza mwenyewe.
Mzee kifimbo alinyanyua mikono juu sijui huyu yangu macho. Ila hii Timu inaelekea kufilisika na itashushwa daraja soon
si bormbadia nyie kwani hamuoni wanyama wawiliii uko juu
 
1476950010717.jpg
 
Nashangaa watu wanashadadia tu, kama mtu hastahili kupata mkopo HATOPATA mkopo na kama anastahili kupata kwa mfano 8% ambayo labda ni 90,000/= atapata hiyo hiyo, very simpo, hamna kubeba villazza na wasio jitambua.
Sasa hao unaowaongelee wewe ni wap?..kwahiyo sasa ivi mtu kusoma sanaa nikilaza tayar?..au unataka kusema hakuna waliopata distinctions na merits waliokuwa wanasoma sanaa..sasa kwann wabaguliwe ili hali hayo masomo bado yanatolewa mashuleni?..kumbuka pia hao hao viongoz huko juu wengi wao wamefika hapo kwa hio hio mikopo na fanii za sana.
Kimsingi hawa jamaa bajeti imebana na sio suala la kusema ni mkakat mpya wa sela la elim vyuo vikuu.
Ivi kwanza we ni nani maana unavoongea as if we ndo unaakili Tanzania nzima.
Na huyo unaemzungumzia ni yupi kama sio wewe?
 
Safi sana, ifike wakati anayekopeshwa ajue thamani ya hiyo pesa na aifanyie kazi ya kusoma sio kula bata, pesa itaenda kwa wahusika walio serious tu, tumechelewa sana kumpata kiongozi kama JPM ila tutafika tu, mtakuja kumuelewa ktk historia kuwa utawala wake ulikuwa ni CORNERSTONE ya mabadiliko tuliyokuwa tukiyahubiri, hapa sasa tutapata wasomi wa kweli na wenye uchungu na hela wanayokopwa!
Hahahah.... sasa haki ya mkopeshaji si kujua anarudishiwa vip na si kujua mkopeshwaji anatumia vipi.... uwe unatumia akili kabla ya kupost kitu....
 
Yule hana uhusiano na mama ndalichako kabisa ni mtoto wa jirani yangu hapa kiwalani tena hajuwani hata chembe
 
Ili mabadiliko yatokee lazima watu wateseke , ccm haiwezi kuondolewa bila wananchi kuichoka na kuwa na hasira nayo ......Magu endelea kukaza watu wazidi kukasirika na kujua kuwa kuna maisha zaidi ya amani , hiyo amani ikawalipie ada
kwel nmeamin kuna maisha zaid ya aman.
Kwel tumekoma kinachofata n kupostpone tu.
 
Kamq product ya elimu unayoiongelea wewe ni hio inayotoa watu kama wewe wasio na courage hata ya kumkosoa mtawala wako sehemu ambayo wrong basi ni bora huo mkopo mdogo wangu asiupate na asiende shule akaharibiwa akili na kuwa bwege kama wewe... Msomi gani usiyekuwa na vision.yani huwezi kuona mbele walau mwaka mmoja baada na bado kama taifa tuseme tuna wasomi tunaojivunia kama wewe...hopeless
Usomi sio kukosoa tu, wewe kuwa msomi na aliyeelimika ni kuwa na balls za kukosoa tu? ni vision gani unayoiongelea hapo? Quality au quantity?
 
..Unajua Hii IDEA Ya kugawa mkopo kwa Analysis ni nzuri,ili kama unataka mkopo ufanye Jitihada upate sio kufaulu kienyeJi kisa uhakika wa mkopo Upo!!!!!
 
Hahahah.... sasa haki ya mkopeshaji si kujua anarudishiwa vip na si kujua mkopeshwaji anatumia vipi.... uwe unatumia akili kabla ya kupost kitu...
Serikali ndio inasimamia vyombo vya usimamizi wa elimu, na bahati nzuri ndio mtoa mikopo, hivyo ishu sio kutoa tu mkopo bali kuhakikisha pia mkopo unaenda kwa mtu sahihi na mwenye sifa, kama hujui, panua wigo wako wa kufikiri japo kidogo, hii ni INDIRECT WAY ya kuongeza kiwango cha elimu kwa kuhakikisha kuwa sio kila mtu anapata mkopo bali ni mwenye sifa ndo atapata huo mkopo kwa % ya qualifications zake, very simpo!
Mnalalamika elimi ya Tz mbovu wakati mnatoa mikopo kwa villaza badala ya kwenda shule/ vyuoni wanakula bata na pia kutumia hiyo pesa ya mkopo kununua makaratasi ya vyeti huku kichwani ni kweupe!
 
Back
Top Bottom