vigezo bado hujakamilisha kuna kozi za vipaumbele...
kwaiyo ba education of mathematics sio priority course!! we sio mzima sio bure.vigezo bado hujakamilisha kuna kozi za vipaumbele...
duh pole aiseyaani ww kama mm Jana nililogin nkakuta nimepata yaan loan breakdown na zile mbwembwe zao cjui research,meal&accmdtn lkn Leo asubuh nalogin nakuta wameandka not allocated for 1st batch nimedata hapa na nmejalib malanyng nying bt bado wanaandka not allocated katka first batch
Hongezi ata miaSir Dokta .. nimeona st john pharmacy hata ukipewa 100% mkopo lakn lazma uongeze million 1.4 kwenye ada kama ni kweli watoto wa masikini tutawakosa apo
Poleeyaani ww kama mm Jana nililogin nkakuta nimepata yaan loan breakdown na zile mbwembwe zao cjui research,meal&accmdtn lkn Leo asubuh nalogin nakuta wameandka not allocated for 1st batch nimedata hapa na nmejalib malanyng nying bt bado wanaandka not allocated katka first batch
Ulipata percent ngap??? Unasoma chuo gan na faculty gan???Duuh madogo wamenikumbusha mwaka Jana zilitoka ka batch tatu sikuwemo ya NNE nikafanikiwa so msipanic mambo yatakua mazuri ila waliopata zero ndo sijui ikoje hapo
Tangazo la wizara kuhusu vigezo vya kutoa mikopo mwaka huu linasema mtu atapatiwa mkopo kulingana na tathmini ya uwezo wake (means testing) katika vipengele vyote. Ukipata 0% ya ada vivyo hivyo itakuwa kwa bumu na vipengele vingine. Labda wabadilisheKuna mambo mawili hapa ya msingi
1. Percent ya mkopo ni kwa ajili ya ada ya chuo (tuition fees) ambayo kwa vyuo vingi ni around ( 700k- 1.8m) ambayo wengi wenu mliimudu na hata kuwa zaidi kwa shule zenu za secondary ( hasa private). Kwhy kama umepewa asilimia kadhaa ni ya ada, na kama una zero it means ada utailipa yote
2. Pili, Hata kama una zero hapa utapata, meals& accommodation , books & stationeries and research/Field allowances
hahahaah.... Ni shida ndugu, itabidi na wewe uwalipe kama utakavyoSilipi ata mia mbn wao walisoma bure
Silipi ata mia mbn wao walisoma bure
Wanazinguaaa sana hao wanaojita bodi ya mikopoLabda usiingie kwenye ajira rasmi.