Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,954
- 3,011
Chukua Suzuki Grand Vitara 2.7litre mana bei sawa tu na Vanguard
hii safi
its a biest my friend,,a hungry and thirsty monster of fuel,,,bila kuziba machoMkuu usi- discourage, niambie tu inatmiaje mafuta!
Au KrugerNunua Toyota Vangurd ni mke mwenza na Harrier lkn ni nzuri Zaidi na mafuta 2.5
Duh, thanks kaka! Unanitisha sasa!3000cc
its a biest my friend,,a hungry and thirsty monster of fuel,,,bila kuziba macho
nakutisha nini baaana ndo ukweli,,,kama unahela ya mwazo haikufaiii jamen tafuta gari ya engine ndoni,,,ccc 3000 ni kama lori tuDuh, thanks kaka! Unanitisha sasa!
Thanks kwa ushauri kiongozi!kama ni 3000cc hybrid chukua maana wese ni kama vits ila kama ni vvti kimbia, maana wese lake kwa mwaka unajenga apartent mbili unakula kodi yako ya 450000
kama ni 3000cc hybrid chukua maana wese ni kama vits ila kama ni vvti kimbia, maana wese lake kwa mwaka unajenga apartent mbili unakula kodi yako ya 450000
Shukrani mkuu!Chukua harrier hybrid more power less fuel
Ndio mkuu, Harrier hiyo 2.4 ni bora kidogo kwenye matumizi kuliko ile ya 3.0Ushauri wako ni upi kwa hizi harrier yenye less consumption
Concept of Drag!Highway ukiwasha AC ni afadhali ukifungua madirisha wese linaenda ova tank linavuja.