Machungu ya kukosa ajira

Machungu ya kukosa ajira

Acha kabisa umenikumbusha nilikaa bila kazi miaka mitatu...nilishia kujiunga chaputa tuu maana ndio nji ya kutoa stress za maisha. Warembo wanakukwepa kama ukoma, ndugu ndani ya nyumba vikejeli vya hapa na pale, huna raha kabisa. Faraja ya gu ikawa kuanga lia pornography na kunyetuka tuu.

Hili jambo lisikie tuu kwa wengine lakini lisikifike wewe au mtoto wako. Mzazi u aona kabisa anaumia ila ndio hivyo tena atafanyaje wakati system inakwambi ukajiajiri. System inapongeza mtu mwenye masters kuendesha bajaj au kuuza kande. Kweli bongo nyoso. Nilikuwa naona jamaa wajinga ila nimekuja kuamini bora uzaliwe kama mbwa wa oprah kuliko kuzaliwa kama mwafrica
Kabisa
 
Noma sana nimeuza sana matunda kinondoni studio nikaja kuuza ma apple mbagala rangi tatu pamoja na ubuyu nikajaribu kuchukua vitu kutoka Zanzibar naleta DSM sio poa unakimbiwa na mchuchu pamoja na washikaji wanakudharau ila alhmdulilah sasa hivi kila mwisho wa mwezi unaona sms ndugu mteja umepokea kiasi cha kitoka kwenye namba hyo ni jambo la kushukuru kwa kweli.
Mkuu ebu nisaidie mambo haya,
Nauli kutoka Zenji mpaka Dar ni bei gani
Je vitu gani ambavyo ukinunua huko Zenji TRA watakukamata kutaka makato,
Vip biashara ya kule eti bei ni ndogo sana kulingana na huku Dar
 
Mkuu ebu nisaidie mambo haya,
Nauli kutoka Zenji mpaka Dar ni bei gani
Je vitu gani ambavyo ukinunua huko Zenji TRA watakukamata kutaka makato,
Vip biashara ya kule eti bei ni ndogo sana kulingana na huku Dar
Naomba nijibu mimi hili swali;
1. Nauli ya kwenda Zanzibar kwa Boat kwa daraja la mwisho kabisa (economy class) ni Tsh. 30,000/= na daraja la juu (Royal class) ni Tsh. 60,000/=
2. Vitu ambavyo ukinunua lazima ulipe kodi TRA ni vile unapokuwa na vitu vingi ambavyo kiuhalisia utaonekana unakwenda kufanya biashara na sio matumimizi binafsi. Halafu TV kuanzia juu ya Nchi 32 na Friji utapaswa kulipia kodi japo sio kubwa kivile.
3. Huku Zanzibar vifaa vya kutumia umeme bei yake ni nafuu kidogo tena vile used ndio kabisa ila vitu used muda mwingine ni kama kucheza kamari.
NB! Biashara ya ubuyu wa babu Issa kutoka Zanzibar inalipa sana huko Bara ukiwa na goli zuri tu.Naishi huku Zanzibar mkuu ukitaka kufanya biashara njoo utakuwa mgeni wangu nitakupitisha chocho zote.
 
Mkuu ebu nisaidie mambo haya,
Nauli kutoka Zenji mpaka Dar ni bei gani
Je vitu gani ambavyo ukinunua huko Zenji TRA watakukamata kutaka makato,
Vip biashara ya kule eti bei ni ndogo sana kulingana na huku Dar
Nauli kutoka dar mpaka zanzibar ilikuwa elfu 25 ila kwa sasa imepanda ni elfu 30
Hakuna vitu specific ambavyo vinakatwa kodi wao wanaangalia ukubwa wa mzigo kwa mfano mtu aliyebeba TV moja kutoka zanzibar hawezi kuwa sawa na aliyebeba TV 5 au sita wanaamini ukibeba nyingi unaenda kuuza hvyo lazima kodi iwe kubwa sana
Bei ya baadhi ya vitu ni ndogo ila vitu vingine bei inalingana na kkoo.
 
Acha kabisa umenikumbusha nilikaa bila kazi miaka mitatu...nilishia kujiunga chaputa tuu maana ndio nji ya kutoa stress za maisha. Warembo wanakukwepa kama ukoma, ndugu ndani ya nyumba vikejeli vya hapa na pale, huna raha kabisa. Faraja ya gu ikawa kuanga lia pornography na kunyetuka tuu.

Hili jambo lisikie tuu kwa wengine lakini lisikifike wewe au mtoto wako. Mzazi u aona kabisa anaumia ila ndio hivyo tena atafanyaje wakati system inakwambi ukajiajiri. System inapongeza mtu mwenye masters kuendesha bajaj au kuuza kande. Kweli bongo nyoso. Nilikuwa naona jamaa wajinga ila nimekuja kuamini bora uzaliwe kama mbwa wa oprah kuliko kuzaliwa kama mwafrica
Ukiwa jobless afu michongo huna unakosa hata confidence ya kutongoza dem, nishapoteza wadada kadhaa ambao baadae nilikuja kujua ni vile tu sikuwa na mbele wala nyuma. Acha mzee hapo lazima upate permanent membership card ya chaputa
 
Naomba nijibu mimi hili swali;
1. Nauli ya kwenda Zanzibar kwa Boat kwa daraja la mwisho kabisa (economy class) ni Tsh. 30,000/= na daraja la juu (Royal class) ni Tsh. 60,000/=
2. Vitu ambavyo ukinunua lazima ulipe kodi TRA ni vile unapokuwa na vitu vingi ambavyo kiuhalisia utaonekana unakwenda kufanya biashara na sio matumimizi binafsi. Halafu TV kuanzia juu ya Nchi 32 na Friji utapaswa kulipia kodi japo sio kubwa kivile.
3. Huku Zanzibar vifaa vya kutumia umeme bei yake ni nafuu kidogo tena vile used ndio kabisa ila vitu used muda mwingine ni kama kucheza kamari.
NB! Biashara ya ubuyu wa babu Issa kutoka Zanzibar inalipa sana huko Bara ukiwa na goli zuri tu.Naishi huku Zanzibar mkuu ukitaka kufanya biashara njoo utakuwa mgeni wangu nitakupitisha chocho zote.
ok, ubarikiwe mkuu, hakika Jf ni zaidi ya ndugu, nikipata nafasi nitakuja huko, ngoja nijichange change kwanza,
 
Nauli kutoka dar mpaka zanzibar ilikuwa elfu 25 ila kwa sasa imepanda ni elfu 30
Hakuna vitu specific ambavyo vinakatwa kodi wao wanaangalia ukubwa wa mzigo kwa mfano mtu aliyebeba TV moja kutoka zanzibar hawezi kuwa sawa na aliyebeba TV 5 au sita wanaamini ukibeba nyingi unaenda kuuza hvyo lazima kodi iwe kubwa sana
Bei ya baadhi ya vitu ni ndogo ila vitu vingine bei inalingana na kkoo.
Thanks, God bless you
 
Ukiwa jobless afu michongo huna unakosa hata confidence ya kutongoza dem, nishapoteza wadada kadhaa ambao baadae nilikuja kujua ni vile tu sikuwa na mbele wala nyuma. Acha mzee hapo lazima upate permanent membership card ya chaputa
Kuna dada mmoja nilikutana nae maeneo ya Mwenge pale,yule dada alinikubali kinoma aisee,alionesha dalili zote hata pale pale ningeomba mzigo napewa, ila nikajisemea Mwanangu Hela una hata ukiambiwa twende gest ni mtihani mkubwa,Cha msingi wee tulia tuu.Nilivyo rudi home nikajilaumu sana,nikasema bora ningejaribu tuu...
 
Back
Top Bottom