cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,653
Na Kama haumwi machoHuwa wana vaa miwani.
Na Kama haumwi machoHuwa wana vaa miwani.
Kuna mdada yupo humu, akitoa miwani ni hatari!!Na Kama haumwi macho
The boss Kuna watu wamezaliwa hivo tu hata akimwangalia yoyote bila kujali jinsia yoyote macho yako hivo tu, Sasa mtu huyo afanyeje sasa, maana sio mda wote utakuwa na simu Kuna mda utakuwa na watu au ofisini, so ku judge mtu hivo not fair ooh
Sasa Kuna watu wameumbwa hivo in short ni mtihaniKuna mdada yupo humu, akitoa miwani ni hatari!!
Ukijua una macho ya kuita, epuka kuangalia angalia watu machoni na kutabasamu tabasamu hovyo.
Sina macho hayo mkuu.Nimekuuliza Una macho hayo sawa..
Je kuwatazama wanaume na tabasam pia umeumbwa hivyo?
Naomba niwe rafiki yao...niwe nawa tazama tuu.Sasa Kuna watu wameumbwa hivo in short ni mtihani
Jicho MAMBAKuna vidume vinapenda wenye macho Kama yako mkuu. . . Macho malegevu, macho apple,
#jitahidikukaza jicho Mara kwa Mara.
Huyo boss wako alikuwa anakutaka kimapenzi so badala ya kukuambia wazi akaona akuambie "Una macho ya kizinzi" ili ukamilishe uzinzi wako kwakeHabari za asubuhi WanaJF?
Leo nataka kujua ukweli wa hiki kitu, utamjuaje mtu mzinzi kwa kumwangalia machoni? Ushawahi kuitwa mzinzi na mtu asiyekufahamu kwa kukuangalia usoni?
Kwa upande wangu hii kauli niliwahi kuambiwa na boss wangu wakike miaka miwili iliyopita, tulikuwa tunaongea kuhusu masuala ya maisha lakini nikashangaa unachomekea hii kauli" macho yako yamekaa kizinzi" sikujibu kitu zaidi ya kutabasamu tu, siku nyingine nilikutana na dada njiani nikaanza kumzingua, akaniambia hanitaki coz naonekana ni mzinzi, maoni yenu tafadhali juu ya hii perception.
California love
Goood nitajitahidi kujicontrolMacho yasiyo tulia..
Kila ukiona mwanamke unamtazama Kwa matamanio..
Kama ni mwanamke akiona wanaume anwalegezea macho..wanaume tofauti tofauti..
Ndo macho ya uzinzi...
Kama mtoto anapoona muuza ukwaju anapita.
Au wauza pipi wanapita
Utulivu zero
Good sana,Kuna mtu huwa namuambia mara kibao tu kuwa ana macho ya ki player, halafu huwa anahisi natania lakini huwa nakuwa very honest..!!
I had this friend of mine, alinitumia picha ya his new chic, kumtazama tu machoni nikaona kabisa hajatulia,
Wala sikutazama mavazi sababu alikuwa amevaa very casual, kuna namna tu niliona kwenye wajihi wake..!
I swear to Almighty God, haikupita hata muda mrefu alimfumania that girl kitandani kwao kabisa, tayari akiwa ameshazaa naye, na wakati huo katoto ni kachanga..
Anakuja niambia, nikamjibu, niliona tu yale macho toka first day umenitumia picha kuwa hajatulia, but there ain't way ningekuambia kitu kama hicho kwa mtu uko unampenda si ungeniona tu niko na wivu?
So, hicho kitu kipo sana tu kwakweli..!!
ushaambiwa una macho ya kizinzi sasa kama unataka kujua hayo macho yanafananaje nenda kajiangalie kwenye kioo utakachoona ndio jibu













Wewe ni mzinzi, haiwezekani watu wawili wakusingizie,kifupi uzinzi ni pepo ambalo huweza kuonekana kwenye paji la uso la mtu yeyote mzinziHabari za asubuhi WanaJF?
Leo nataka kujua ukweli wa hiki kitu, utamjuaje mtu mzinzi kwa kumwangalia machoni? Ushawahi kuitwa mzinzi na mtu asiyekufahamu kwa kukuangalia usoni?
Kwa upande wangu hii kauli niliwahi kuambiwa na boss wangu wakike miaka miwili iliyopita, tulikuwa tunaongea kuhusu masuala ya maisha lakini nikashangaa unachomekea hii kauli" macho yako yamekaa kizinzi" sikujibu kitu zaidi ya kutabasamu tu, siku nyingine nilikutana na dada njiani nikaanza kumzingua, akaniambia hanitaki coz naonekana ni mzinzi, maoni yenu tafadhali juu ya hii perception.
California love