Macho ya kizinzi yapoje?

Macho ya kizinzi yapoje?

moj6

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2017
Posts
3,354
Reaction score
5,006
Habari za asubuhi WanaJF?

Leo nataka kujua ukweli wa hiki kitu, utamjuaje mtu mzinzi kwa kumwangalia machoni? Ushawahi kuitwa mzinzi na mtu asiyekufahamu kwa kukuangalia usoni?

Kwa upande wangu hii kauli niliwahi kuambiwa na boss wangu wakike miaka miwili iliyopita, tulikuwa tunaongea kuhusu masuala ya maisha lakini nikashangaa unachomekea hii kauli" macho yako yamekaa kizinzi" sikujibu kitu zaidi ya kutabasamu tu, siku nyingine nilikutana na dada njiani nikaanza kumzingua, akaniambia hanitaki coz naonekana ni mzinzi, maoni yenu tafadhali juu ya hii perception.

California love
 
Macho yasiyo tulia..
Kila ukiona mwanamke unamtazama Kwa matamanio..
Kama ni mwanamke akiona wanaume anwalegezea macho..wanaume tofauti tofauti..

Ndo macho ya uzinzi...
Kama mtoto anapoona muuza ukwaju anapita.
Au wauza pipi wanapita
Utulivu zero
 
Macho yamejaa wenge,,,,
Unamwangalia mwanamke kiuroho
Mpka anapoteza confidence
Mara ulegeze
 
Macho yasiyo tulia..
Kila ukiona mwanamke unamtazama Kwa matamanio..
Kama ni mwanamke akiona wanaume anwalegezea macho..wanaume tofauti tofauti..

Ndo macho ya uzinzi...
Kama mtoto anapoona muuza ukwaju anapita.
Au wauza pipi wanapita
Utulivu zero
Ila Kuna watu macho yao huwa yamelegea na kurembua mda wote ndio asili yao hao unawaweka kundi gani?
 
Ila Kuna watu macho yao huwa yamelegea na kurembua mda wote ndio asili yao hao unawaweka kundi gani?
Kama Una macho hayo halafu kutwa unatazama wanaume tukueleweje?
Why usitazame away?Au uwe busy na simu yako?Unatazama wanaume na tabasam juu..
Kama sio ukahaba ni nini?
 
Ila Kuna watu macho yao huwa yamelegea na kurembua mda wote ndio asili yao hao unawaweka kundi gani?
Akiwa mdada anakua na macho ya genye, ukute yanakua na wekundu wekundu fulani hiviii
 
Macho yasiyo tulia..
Kila ukiona mwanamke unamtazama Kwa matamanio..
Kama ni mwanamke akiona wanaume anwalegezea macho..wanaume tofauti tofauti..

Ndo macho ya uzinzi...
Kama mtoto anapoona muuza ukwaju anapita.
Au wauza pipi wanapita
Utulivu zero
Watoto na ice cream za ukwaju ule uchu ni balaa😂
 
Kama Una macho hayo halafu kutwa unatazama wanaume tukueleweje?
Why usitazame away?Au uwe busy na simu yako?Unatazama wanaume na tabasam juu..
Kama sio ukahaba ni nini?
The boss Kuna watu wamezaliwa hivo tu hata akimwangalia yoyote bila kujali jinsia yoyote macho yako hivo tu, Sasa mtu huyo afanyeje sasa, maana sio mda wote utakuwa na simu Kuna mda utakuwa na watu au ofisini, so ku judge mtu hivo not fair ooh
 
Habari za asubuhi WanaJF?

Leo nataka kujua ukweli wa hiki kitu, utamjuaje mtu mzinzi kwa kumwangalia machoni? Ushawahi kuitwa mzinzi na mtu asiyekufahamu kwa kukuangalia usoni?

Kwa upande wangu hii kauli niliwahi kuambiwa na boss wangu wakike miaka miwili iliyopita, tulikuwa tunaongea kuhusu masuala ya maisha lakini nikashangaa unachomekea hii kauli" macho yako yamekaa kizinzi" sikujibu kitu zaidi ya kutabasamu tu, siku nyingine nilikutana na dada njiani nikaanza kumzingua, akaniambia hanitaki coz naonekana ni mzinzi, maoni yenu tafadhali juu ya hii perception.

California love
Je swali kwako wewe una tabia hzo au?
 
Habari za asubuhi WanaJF?

Leo nataka kujua ukweli wa hiki kitu, utamjuaje mtu mzinzi kwa kumwangalia machoni? Ushawahi kuitwa mzinzi na mtu asiyekufahamu kwa kukuangalia usoni?

Kwa upande wangu hii kauli niliwahi kuambiwa na boss wangu wakike miaka miwili iliyopita, tulikuwa tunaongea kuhusu masuala ya maisha lakini nikashangaa unachomekea hii kauli" macho yako yamekaa kizinzi" sikujibu kitu zaidi ya kutabasamu tu, siku nyingine nilikutana na dada njiani nikaanza kumzingua, akaniambia hanitaki coz naonekana ni mzinzi, maoni yenu tafadhali juu ya hii perception.

California love
Ngoja aje uyu atuambie Davet
 
Kuna mtu huwa namuambia mara kibao tu kuwa ana macho ya ki player, halafu huwa anahisi natania lakini huwa nakuwa very honest..!!

I had this friend of mine, alinitumia picha ya his new chic, kumtazama tu machoni nikaona kabisa hajatulia,
Wala sikutazama mavazi sababu alikuwa amevaa very casual, kuna namna tu niliona kwenye wajihi wake..!
I swear to Almighty God, haikupita hata muda mrefu alimfumania that girl kitandani kwao kabisa, tayari akiwa ameshazaa naye, na wakati huo katoto ni kachanga..

Anakuja niambia, nikamjibu, niliona tu yale macho toka first day umenitumia picha kuwa hajatulia, but there ain't way ningekuambia kitu kama hicho kwa mtu uko unampenda si ungeniona tu niko na wivu?

So, hicho kitu kipo sana tu kwakweli..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom