Marahaba, wewe huli?Shikamoo watu wote mnao kula nyama aiseee!
Uwiiiiii basi me nalishwa sana jamanIle mishkaki ya mia mia, nina wasiwasi nayo
natania bwana usije ukatapika bureUwiiiiii basi me nalishwa sana jaman
Kutapika siwezi na kuacha kula sitaweza nikiiona kwenye jiko inatoa moshi jamani me naona sijui nyama za mbwa nalishwa sananatania bwana usije ukatapika bure
we jilie tu, wanasema kimwingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho!Kutapika siwezi na kuacha kula sitaweza nikiiona kwenye jiko inatoa moshi jamani me naona sijui nyama za mbwa nalishwa sana
Hahaha kwakweliwe jilie tu, wanasema kimwingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho!
Nasikiaga nyama ya mbwa au paka ileIle mishkaki ya mia mia, nina wasiwasi nayo
Sio kweli bwana, itakuwa nyama ya ng'ombe ila malapu lapu ya nyama sio ile nzuri kabisaNasikiaga nyama ya mbwa au paka ile