MACHINGA WOTE WAMERUDI MANZESE - Godwin Gondwe Hoi

MACHINGA WOTE WAMERUDI MANZESE - Godwin Gondwe Hoi

fisi 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
3,284
Reaction score
4,652
IMG_2976.jpg

Mliwatoa Kwa nyodo sasa wamerudi mchana kweupe!? Gondwe achia ngazi hiyo kazi huwezi Wewe!
 
Nchi hii ina viongozi dhaifu katika ngazi zote, wanatafuta sifa na heshima wasiostahili
 
Mwanza huku lazima bajeti ya Jiji mwakani itaonyesha matumizi ya kuondoa machinga ni 60% ya bajeti yote.....kila kitu kimesimama mfano gari za wagonjwa mafuta ni shida ila za wagambo wa kukimbizana na machinga zipo mtaani 24/7....

Ama kweli kupanga ni kuchagua!
 
View attachment 2046039
Mliwatoa Kwa nyodo sasa wamerudi mchana kweupe!? Gondwe achia ngazi hiyo kazi huwezi Wewe!
Sio Manzese nafikiri sehemu nyingi tu wamerudi.Arusha huanza kazi ya umachinga kuanzia saa 9 mchana.
Mytake:
Mgambo hulipwa kwa siku hawana mshahara.Halimashauri nyingi hazina bajeti ya kuwalipa mgambo kwa muda wa miezi 3 mfululizo.
Machinga watumie udhaifu huo kuendelea na shughuli zao kama kawaida,ukichukuliwa vitambulisho vya machinga vilitolewa na hii serikali sikivu ya CCM,halafu wanaleta ubabe !
 
Nchi hii inakera kweli kweli HV unawafukuza machinga bila kuwaandaliabutaratibu mzuri kweli?
 
Back
Top Bottom