wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,931
- 3,299
Wasiofanya hawasemi mitandaoni...ishi maisha yakoWengine hatufanyi show za nje only ndani,
Wasiofanya hawasemi mitandaoni...ishi maisha yakoWengine hatufanyi show za nje only ndani,
Kwanini sasa nisiseme mtandaoni?nna wasiwasi gani hadi nisiseme? Kumsema mwenye nchi niogope lakini hata kivuli changu pia nikikimbie? Huu utakua uhayawaniWasiofanya hawasemi mitandaoni...ishi maisha yako
Wewe ni Jack Chein?Kuna mmoja pale Msimbazi nilijichanganya nikakanyaga mashuka yake akaanza kumaindi,wee wee alijuta siku ile kufungua biashara yake maana nilipiga wakajifanya kutaka kumsaidi nikawaingiza kwenye vipigo wote,basi watu wenye maduka wakawa wanasema safi sana maana wamezidi viherehere kisa wameruhusiwa na Magu.
Huwezi ukawapiga ukatoka salama. Wengi wao wanatumwa na wenye maduka kwani wanawasaidia kukwepa kodi. Then mtandao wao ni mkubwa. Onyo don't try to be physical with people who have nothing to looseFix za mchana mchana. Kwa hiyo ukawapiga eeeh! We kweli noma
Wewe unabisha ulikuwepo? Je kama aliwapiga picha wote mpaka wakawa hoi, we unafikiri kupiga ni mangumi tuuu?Fix za mchana mchana. Kwa hiyo ukawapiga eeeh! We kweli noma
Nisamehe bure....ubongo wangu mchacheWewe unabisha ulikuwepo? Je kama aliwapiga picha wote mpaka wakawa hoi, we unafikiri kupiga ni mangumi tuuu?
Mimi niliwachapa 9, please ukiachika nibeep. au hata mkigombana tu. .Wale jamaa wanavuta bangi,wewe utakua unapuliza shisha, si kwa miguvu hiyo, ukawapangua pangua aah we kweli ni hatari atii! Nibgekua sijaolewa ningekuomba unioe hata mke wa 4
Wanafika sheli hununua pia. Huu msimu wa siku kuu shostiSasa hapo mwny sheli anapataje wateja?!
Mh!Wanafika sheli hununua pia. Huu msimu wa siku kuu shosti
Kuna mmoja pale Msimbazi nilijichanganya nikakanyaga mashuka yake akaanza kumaindi,wee wee alijuta siku ile kufungua biashara yake maana nilipiga wakajifanya kutaka kumsaidi nikawaingiza kwenye vipigo wote,basi watu wenye maduka wakawa wanasema safi sana maana wamezidi viherehere kisa wameruhusiwa na Magu.
Kuna mmoja pale Msimbazi nilijichanganya nikakanyaga mashuka yake akaanza kumaindi,wee wee alijuta siku ile kufungua biashara yake maana nilipiga wakajifanya kutaka kumsaidi nikawaingiza kwenye vipigo wote,basi watu wenye maduka wakawa wanasema safi sana maana wamezidi viherehere kisa wameruhusiwa na Magu.
Mnaona raha kujisifia ubabe?! Mfyuu kabisa nyie!Niliwahi kumtandika mmoja Mwanza hatonisahau