Serikali imekopesha Machinga Tshs bilioni 18.5 2025/26, zitaongezwa Tshs. bilioni 10. 5 kwenye mikopo 2026/27.

Serikali imekopesha Machinga Tshs bilioni 18.5 2025/26, zitaongezwa Tshs. bilioni 10. 5 kwenye mikopo 2026/27.

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
962
Reaction score
1,909
Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Omar ameyasema hayo Juni 11, 2026 wakati akiwasilisha mapendekezo ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 Serikali pia imeanzisha Mfuko wa Machinga wa kuwezesha wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama machinga, ambapo shilingi bilioni 18.5 zinaendelea kutumika kukopesha wafanyabiashara hao kwa mwaka 2025/26. Ili kuendelea kuimarisha Mfuko huo, shilingi bilioni 10.5 zitaongezwa kwa mwaka 2026/27.
 
Ndio nasikia leo kwamba wamachinga nao wanapewa mikopo na serikali

wamachinga wenyewe watasemaje? Wakisikia hii fursa
 

Watakuwa wanakopeshana wenyewe CCM
Tatizo hii mikopo ya kupeana kwa vimemo au upendeleo hata ulipaji wa rejesho ni vigumu
CAG hakikagua na kutolea taarifa ya utaratibu, mahesabu ya mikopo hiyo inavyotolewa na urejeshwaji wake, naamin wamachinga lazima waandamane
 
Back
Top Bottom