Machine za kutoa sumu mwilini

Nina shemeji yangu huko Bk nae alifanyiwa hii kitu. Alikuwa nauzito, na moyo ulikuwa unamuuma, kichwa. Wakamwambia the same thing kuwa ana sumu mwilini akaekewa mashine hiyo sumu ikatoka ktk karai as usual. Kwa madai yake amepona kabisa, anajisikia mwepesi, moyo hauumi, kitambi kimepungua na ameloose weight

Sasa najuliza je? hii treatment inaenda na imani? Nilivyoelewa nilishinwa kuelewa na hadi sasa sijaelewa bado.
 
Nina hakika siku za nyuma First Lady mtarajiwa Josephine nilikuwa namuona kwenye moja ya Tv station moja anaelezea jinsi ya matibabu ya hicho kifaa kwa ufasaha kabisa akiwa kama mtaalamu wa tiba mbadala kwenye cliniki yake
So kama vipi check naye yupo humu JF anaweza kukupa dondoo
 
Last edited by a moderator:
Baabu Dark City nimesoma i see. So this is another utapeli wa kutuibia wadanganyika.Ndo maana nilikuwa sielewi mechanism yake, SIDANGANYIKI
Nilisoma hiyo kitu nikaishia kucheka sana. Jamaa wanaeleza vizuri kuwa ni simple electrophoresis ya kidato cha tatu. Na changes kwenye maji zinatokana redox reactions za iron.
 
Nilisoma hiyo kitu nikaishia kucheka sana. Jamaa wanaeleza vizuri kuwa ni simple electrophoresis ya kidato cha tatu. Na changes kwenye maji zinatokana redox reactions za iron.

Yaani ni chemistry babu, kabisaa. Eleectrolysis bila ubishi babu DC.

Kweli watanzania tunaibiwa sana, and it seems wengi tu wagonjwa so kila matibabu yanayokuja, bila hata kufikiri tunakuwa trapped nayo. Hata kufanya reseach kidogo tu.
 
Nina hakika siku za nyuma First Lady mtarajiwa Josephine nilikuwa namuona kwenye moja ya Tv station moja anaelezea jinsi ya matibabu ya hicho kifaa kwa ufasaha kabisa akiwa kama mtaalamu wa tiba mbadala kwenye cliniki yake
So kama vipi check naye yupo humu JF anaweza kukupa dondoo

Itakuwa unatania, First Lady mtarajiwa nae ni tapeli?!
 
Sikumbuki exactly process kikemikali inayofanyika, lakini kama sio electrolysis ya maji hayo maji kwa kutumia chumvi sijajua. Ni utapeli 100%
Ukiwa mtu wa kushobokea anything new in town unaliwa, na ukichangamkia dealz za hivyo una-make dooh za haraka. Umenikumbusha habari ya chi disk na chi pendant. Eti unaweka kitandani ina ernegize kitanda. Unaweka kwenye maji unaenergise maji ya kuoga ama kunywa! Sasa hivi naskia chi disk in tshs 1M, kuna mbaba alinunulishwa amfanyie babake mwenye kansa ya prostrate! Ati atapona!
jamani nimetolewa sumu kwa mashine hyo lakini ainipi akilini mwangu kabisa unafungwa belt kiunoni karibia na kitovu, alafu unatumbuliza miguu kwenye karai la maji wanaweka na chumvi eti inasaidia kuzibua matundu kwenye nyayo kisha wanatumbukiza kidude fulani kwenye maji ambacho kinachemka uku belt ulowekewa tumboni inapata joto la wastani wanasema eti ndio inalainisha sumu kweli nilimaliza nusu saa na maji yalibadilika rangi kiasi hofu yangu nahisi kile kidude wanachoweka kwenye maji ndicho kinachotengeneza huo uchafu unaoitwa sumu kwani kinavyochemka ndivyo maji yanavyobadilika na uchafu autoki miguuni kwako nilipouliza nikajibiwa hicho ndio kinavuta sumu
 
Umesahau babu wa loliondo?
Kuna kaka alikuwa na kansa ya damu, alienda na ambulance. Akarudi kaketi poa kabisa. Alikuja kufa baadae lakini for a while alienda na kazini na kuwa fine. Achana na imani aisee!
Nina shemeji yangu huko Bk nae alifanyiwa hii kitu. Alikuwa nauzito, na moyo ulikuwa unamuuma, kichwa. Wakamwambia the same thing kuwa ana sumu mwilini akaekewa mashine hiyo sumu ikatoka ktk karai as usual. Kwa madai yake amepona kabisa, anajisikia mwepesi, moyo hauumi, kitambi kimepungua na ameloose weight

Sasa najuliza je? hii treatment inaenda na imani? Nilivyoelewa nilishinwa kuelewa na hadi sasa sijaelewa bado.
 
Ni utapeli huo. Mimi ni mtafiti sana. Mamsapu wangu alinisimulia nikaenda kuwaona na kuwauliza namna inavyofanya kazi. Maelezo niliyopata sikuridhika nikasepa. Niliona jamaa wengi tu wanaendelea kuliwa Sh. 50,000. Jamaa anaweza miguu kwenye karai lililowekwa chumvi na kifaa fulani halafu baada ya muda mfupi maji yanabadilika rangi. Then, unaambiwa eti hiyo ndiyo sumu. Chemistry yangu inaniambia kinachoendelea pale ni some sort of electrolisis.
 
Ni utapeli huo. Mimi ni mtafiti sana. Mamsapu wangu alinisimulia nikaenda kuwaona na kuwauliza namna inavyofanya kazi. Maelezo niliyopata sikuridhika nikasepa. Niliona jamaa wengi tu wanaendelea kuliwa Sh. 50,000. Jamaa anaweza miguu kwenye karai lililowekwa chumvi na kifaa fulani halafu baada ya muda mfupi maji yanabadilika rangi. Then, unaambiwa eti hiyo ndiyo sumu. Huo ni utapeli wa Chemistry tu.
 
Yaani ni chemistry babu, kabisaa. Eleectrolysis bila ubishi babu DC.

Kweli watanzania tunaibiwa sana, and it seems wengi tu wagonjwa so kila matibabu yanayokuja, bila hata kufikiri tunakuwa trapped nayo. Hata kufanya reseach kidogo tu.

Sorry Koku,

Ni electrolysis na siyo electrophoresis kama nilivyosema awali.

Kwa kuwa maji yanakuwa na chumvi, hiyo inayafanya kuwa conductor ya umeme kutoka electrode moja kwenda nyingine. Hizo changes jamaa wanazosema zinaweza kuwa ni reaction kwenye electrodes au Iron iliyoko kwenye maji. Kwa hiyo changes kutoka Fe2+ to Fe3+ zinasababisha brown colour inayoonekana kwenye maji na ndiyo wanaita sumu.

Ila kuna jamaa alijaribu kutetea kwamba electric potential ya cells (umeme mdogo sana wa kwenye chembe hai za mwili) ndiyo unayosababisha sumu itoke. Hata hivyo, hilo haliwezekani kwa sababu hakuna ushahidi wa kutiririka kwa solutions kutoka kwenye cell cytoplasm kwenda kwenye yale maji. Pia ilionekana kuwa ukitumia pure water, hutaona hizo changes!!

Ila wabongo ukiwaeleza haya watakuona wewe ndo chizi kama walivyotufanya kwenye issue ya Babu wa Loliondo na DECI!


Babu DC!!
 
Mkuu siriazi kabisa nilimuona kwa macho yangu akiitangaza tiba hiyo kama sikosei ilikuwa TBC akaelezea kwa ufasaha na alikuwepo mteja akweka miguu kunako maji na akafungwa mkanda fulani kisha yale maji yakaanza kugeuka rangi kama nyekundu/ugoro fulani hivi eti hiyo ndio sumu inatoka
Kama namsingizia Josephine first lady mtarajiwa aje akanushe hapa
Itakuwa unatania, First Lady mtarajiwa nae ni tapeli?!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu siriazi kabisa nilimuona kwa macho yangu akiitangaza tiba hiyo kama sikosei ilikuwa TBC akaelezea kwa ufasaha na alikuwepo mteja akweka miguu kunako maji na akafungwa mkanda fulani kisha yale maji yakaanza kugeuka rangi kama nyekundu/ugoro fulani hivi eti hiyo ndio sumu inatoka
Kama namsingizia Josephine first lady mtarajiwa aje akanushe hapa

Dah! Hii kali.

Kama ni hivyo kazi tunayo ikulu.

First Lady tapeli......mmmmh
 
Wadau kama ni Electrolysis,which is Anode,cathode and electrolyte? Je electroplating inatokea hapo?
 
Umesahau babu wa loliondo?
Kuna kaka alikuwa na kansa ya damu, alienda na ambulance. Akarudi kaketi poa kabisa. Alikuja kufa baadae lakini for a while alienda na kazini na kuwa fine. Achana na imani aisee!

Nakubaliana na wewe King'asti.

Imani ni kitu kingine, unaweza kufanya the impossible ukiwa na imani iliyo timilifu.
 
mtashangaa hata viongozi wakuu wa nchi wanaifuata nchi za nje huduma hiyo sasa sijui hata huko ni utapeli au ni nini?
 
Sorry Koku,

Ni electrolysis na siyo electrophoresis kama nilivyosema awali.

Kwa kuwa maji yanakuwa na chumvi, hiyo inayafanya kuwa conductor ya umeme kutoka electrode moja kwenda nyingine. Hizo changes jamaa wanazosema zinaweza kuwa ni reaction kwenye electrodes au Iron iliyoko kwenye maji. Kwa hiyo changes kutoka Fe2+ to Fe3+ zinasababisha brown colour inayoonekana kwenye maji na ndiyo wanaita sumu.

Ila kuna jamaa alijaribu kutetea kwamba electric potential ya cells (umeme mdogo sana wa kwenye chembe hai za mwili) ndiyo unayosababisha sumu itoke. Hata hivyo, hilo haliwezekani kwa sababu hakuna ushahidi wa kutiririka kwa solutions kutoka kwenye cell cytoplasm kwenda kwenye yale maji. Pia ilionekana kuwa ukitumia pure water, hutaona hizo changes!!

Ila wabongo ukiwaeleza haya watakuona wewe ndo chizi kama walivyotufanya kwenye issue ya Babu wa Loliondo na DECI!


Babu DC!!

Yaani natamani hiii elimu wangepewa watanzania hata kwa njia ya television na media, ingesaidia sana.

Hata kama kuna wtakaopuunza but hawatakosekana kumi wa kuelewa na kuchukua hatua, kuliko wote kuangamia kwa kukosa maarifa,

Babu DC inauma sana unapoona watu wanapoteza pesa nyingi wakati unajua kabisa treatment wanazopewa ni wizi kabisa.

Mimii nachukua hatua, naanza na jamii inayonizunguka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom