Machine za kukata vitambi

Machine za kukata vitambi

fakalava

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2015
Posts
4,459
Reaction score
6,031
Kwa wale wanaohitaji machine za kukata vitambi, wafike pale Diamond Jubilee Kwenye maonyesho ya bidhaa za China ambayo yataisha keshokutwa tarehe 13/09/2015.
Ukiingia nenda moja kwa moja kwenye mabanda ya mwisho, machine ni za umeme na bei ni 330,000.
 
Si bora nirukeruke kichura tuu,umeme wenyewe wa mgao huu so ni shida tu.
 
Back
Top Bottom