fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,031
Kwa wale wanaohitaji machine za kukata vitambi, wafike pale Diamond Jubilee Kwenye maonyesho ya bidhaa za China ambayo yataisha keshokutwa tarehe 13/09/2015.
Ukiingia nenda moja kwa moja kwenye mabanda ya mwisho, machine ni za umeme na bei ni 330,000.
Ukiingia nenda moja kwa moja kwenye mabanda ya mwisho, machine ni za umeme na bei ni 330,000.