Dividend
JF-Expert Member
- Jan 15, 2017
- 2,132
- 3,398
Yap jamaa ame summary vizuri sana.Story nzuri sana
Sio kama za wale jamaa wa itaendelea.....
Mtu anaweka unnecessary things ilimradi iwe na itaendelea
Yap jamaa ame summary vizuri sana.Story nzuri sana
Mkuu hili siwezi lishau kamwe... Na ni funzo kubwa sana Hadi Sasa siwezi muamini mtu kwenye kutafta Mali na pia Hilo lilinifanya niamin kumbe Kuna kafala wazi wazi .....Yap jamaa ame summary vizuri sana.
Sio kama za wale jamaa wa itaendelea.....
Mtu anaweka unnecessary things ilimradi iwe na itaendelea
Ni matesoDuh aiseee
Mkuu nitaongea na bibi au mjomba niulize kama yupo ni siku nyingi Sasa.Huyo mganga bado yupo hai? Ninashinda nae
Ongea nao mzee, lazima Tuishi na wataalamu vizuriMkuu nitaongea na bibi au mjomba niulize kama yupo ni siku nyingi Sasa.

Yani hatari sanaJamaa kakuchomoa 600k na bado akawa anaitaka na roho yako duh
Sawa kesho nikumbushe sa6 mchanaOngea nao mzee, lazima Tuishi na wataalamu vizuri![]()
Ahsantee mkuu yalishapitaPole sana mkuu
Naam Mkuu Wataalamu lazima waheshimiwe ha ha haOngea nao mzee, lazima Tuishi na wataalamu vizuri![]()
KabisaKAZI ni kipimo cha utu
NakubaliNaam Mkuu Wataalamu lazima waheshimiwe ha ha ha
Sema nao jamaa walikuwa na maksudi tuu ... unamwachaje mgeni apande wakati kiroba hakijafika juu ... alitakiwa akae station..(fonka).Mkuu duara Zina tofautiana Moja Hadi nyingine Kuna sehem kabisa ya kama ka chumba fln kadogo ni ngumu kuelewa kama hujaingia duarani hako ndo Huwa Wana kaa Wakati gunia linashuka na Huwa linakuja likigonga side Hadi side Kwa kasi so mara nyingi hukaa hivo. But Kuna wengine wabishi tu anakaa pembeni kidogo na ndicho kilichotokea Kwa jamaa huenda tu ilikuwa hivo Ili nipone ..kumbuka unaposhuka huendi direct unaenda unajipigiza kwenye Kuta za shimo (kugologosha) ni ngumu kuelezea mtu asiyewahi kushuka humu ila Kwa taswira ndo hivo
Kwa mchungaji hahah.Haya ndo mambo ya mwime
Uchimbaji mdogo ni mgumu sana
Acha tu wachimbaji tutumie hela yetu kwenye vikojoleo tu na pombe mauza uza ni mengi sana