MACHIMBONI: Sitosahau nilivyonusurika kufa

MACHIMBONI: Sitosahau nilivyonusurika kufa

Mkuu duara Zina tofautiana Moja Hadi nyingine Kuna sehem kabisa ya kama ka chumba fln kadogo ni ngumu kuelewa kama hujaingia duarani hako ndo Huwa Wana kaa Wakati gunia linashuka na Huwa linakuja likigonga side Hadi side Kwa kasi so mara nyingi hukaa hivo. But Kuna wengine wabishi tu anakaa pembeni kidogo na ndicho kilichotokea Kwa jamaa huenda tu ilikuwa hivo Ili nipone ..kumbuka unaposhuka huendi direct unaenda unajipigiza kwenye Kuta za shimo (kugologosha) ni ngumu kuelezea mtu asiyewahi kushuka humu ila Kwa taswira ndo hivo
Tunaomba uendelee kutusimulia iliishaje wewe na binamu Yako?
 
Tunaomba uendelee kutusimulia iliishaje wewe na binamu Yako?
Mkuu Kwa sababu ni mambo ya mganga kwakweli ilibidi niwe mbali nae tu Hadi ukaribu ukapotea saivi imebaki udungu tu japo Huwa namtania (yeye na jamaa wengine maana walikuwa kama 9 kati Yao baadhi tunajuana na Huwa tunaonana) Kwa kumwambia mlitaka mniue Ili mtajirike yaani namwambia Kwa njia ya utani Hadi Sasa tupo mbalimbali sana tofauti na zaman
 
Back
Top Bottom