Machimbo ya Kariakoo Mkononi Mwako

Huyu ni local alibaba. Anakatiza katikati ya mteja na mfanyabiashara. Potential clients wake ni new traders only mana hawatakuwa na haja ya kutoka huko walipo kuja dar. Hao wengine wote wana wauzaji wao wanaowaamini. Na Huyu atajibu maswali ya machimbo ya kweli ambayo hayajitangazi... Mm sikubaliani nae anasema atoe namba tu plan iishie hapo! Ni big failure sabab hata kelvin kibenje anatoa hizo namba
Hata hao new traders huwa mara nyingi wanawatumia old traders kwa uzoefu na usalama wa mizigo yao.
So atapata number ndogo ya hao new traders.
Kikubwa aelewe changamoto ya wazo lake.
Kama ni tech guy tuu na hajawahi kuwa winga kariakoo kuna vitu kwake atakuwa anaona tunamkatisha tamaa.
But kwa mtu ambae anaujua uwinga basi ana maono zaidi kwenye hili wazo.
 
Hata hao new traders huwa mara nyingi wanawatumia old traders kwa uzoefu na usalama wa mizigo yao.
So atapata number ndogo ya hao new traders.
Kikubwa aelewe changamoto ya wazo lake.
Kama ni tech guy tuu na hajawahi kuwa winga kariakoo kuna vitu kwake atakuwa anaona tunamkatisha tamaa.
But kwa mtu ambae anaujua uwinga basi ana maono zaidi kwenye hili wazo.
Anasema ana machimbo kama 200+ hapo kariakoo. Machimbo yake ni ya bei au machimbo kayadefine vipi...
 
Unajua utofauti wa bidhaa zilizopo na ubora wake?. Mm nimefanya biashara y uwinga kariakoo kwa muda wa miaka kama miwili hivi.
Hata uwe kariakoo kila siku huwezi jua kila kitu na plan hii inahitaji umakini wa Hali ya juu mana ujanja ujanja wa wabongo kariakoo ndo kwake. Exclude vifaa vya simu na bidhaa za huwa na chapa. Chapa kwa wanaozijua ndio inadetermine bei husika. Kuna sehem rado inauzwa mpaka 15 lakin kiuhalisia ni kopi chafu. Nakucheki nione

Rado za buku nne zipo pia!!
 
Habari WanaJF,
Natumaini tumeanza siku vizuri. Hata kama kuna mambo hayaendi, shukuru hata kwa uhai. Mungu yupo atakupambania...

Bila kupoteza muda, ningependa kuwashirikisha wazo, na naomba feedback. Kama mfanyabiashara, siku zote unatafuta pa kununua vitu kwa bei ndogo ili uweze kuuza kwa faida inayoeleweka.

Huenda unatafuta machimbo ya bidhaa za biashara.

Nimejikaza nikakusanya zaidi ya machimbo 300 Kariakoo ambapo unaweza kununua vitu kwa bei nafuu. (natazamia kufikia 1000+ hadi mwisho wa mwezi huu).

Sasa, nikaamua kutengeneza mfumo mdogo ambao utakusaidia kwa njia hii hapa:
  1. Utaingia kwenye mfumo (tutatumia web kwa sasa, apps zitakuja baadaye)
  2. Utachagua biashara unazotaka. Kwa mfano, sandals za kike.
  3. Utapata orodha ya machimbo, ila information utakayoona itakuwa ni jina na location ya biashara.
  4. Utachagua machimbo unayotaka kwa kuclick.
  5. Utapewa bei jumlishi ya machimbo yote ulochagua. (kila chimbo kitakuwa na bei
  6. Utalipia kwa njia unayopenda. Ama kwa simu au credit card (crypto baadaye).
  7. Utatumiwa list ya machimbo kwa njia ya SMS (jina na namba za simu) au email (Majina ya biashara, namba za simu, na location ya biashara). Tutafanya mpango wa Whatsapp baadaye.
Hiyo ndo idea yangu. Ila, nlikuwa na maswali kwako, mfanya biashara:
  • Je, ni nini kinakosekana hapo juu? Unahisi unaweza kuhitaji details zipi za chimbo ambazo hazipo hapo juu?
  • Kwa sasa, ili kupelekwa kwenye chimbo na mwamba hapo Kariakoo, utalipia 5,000. Kwenye mfumo kama huu, unaweza kutoa sh. ngapi kuelekezwa kwenye chimbo husika?
Ni hayo tu. Nasubiri maoni yako.

Pamoja sana,
Amba Jnr.

Hiki kitu unataka kufanya tofauti yake na kikuu, jumia, kariakoo mall na sijui jiji ni nini labda?
Ni hiyo ya mteja kulipia ili apate taarifa za chimbo tu amaaa…..!???!
 
Hiki kitu unataka kufanya tofauti yake na kikuu, jumia, kariakoo mall na sijui jiji ni nini labda?
Ni hiyo ya mteja kulipia ili apate taarifa za chimbo tu amaaa…..!???!
Swali zuri Freyzem
USP yetu ni kuleta bidhaa kwa namna ya unafuu wa bei. Tutakuwa na "jicho la ziada" kuwasaidia wateja wetu kupata sio machimbo na namba tu, bali kuwa up to date na flash sales. Aidha, tutalink na trusted ways ya kuwafikishia mizigo at affordable rates.

Difference na akina kikuu ni kuwa inventory yetu ya machimbo ipo audited, fresh and constantly updated, tofauti na akina Kikuu ambao wana platform ya "walk in" service providers.
 
Hata hao new traders huwa mara nyingi wanawatumia old traders kwa uzoefu na usalama wa mizigo yao.
So atapata number ndogo ya hao new traders.
Kikubwa aelewe changamoto ya wazo lake.
Kama ni tech guy tuu na hajawahi kuwa winga kariakoo kuna vitu kwake atakuwa anaona tunamkatisha tamaa.
But kwa mtu ambae anaujua uwinga basi ana maono zaidi kwenye hili wazo.
Asante kwa maoni mazuri. Wazo langu linahusu vitu vingi. Escrow, quality assurance, sales patterns nk kujaribu kumsaidia mteja kufikia soko kwa haraka, kwa usalama na kwa uhakika.
 
Kwa nilivyoelewa bidhaa yako wewe unayouza ni 'information'. Na unaiuza sababu info hizo ni scarce.
Wafanyabiashara wakiamua kujitangaza wao wenyewe moja kwa moja kwa mteja, we hapo utakuwa unauza nini?
Unatambua kwamba mawinga ni washindani wako kwenye hilo wazo? Tofauti yao ni kwamba wao wanalink ya wateja wachache (idadi kadhaa) na wakati mwingine mawinga wananunua mzigo, wanafunga na kumtumia mteja ambae yuko sehemu yoyote Tanzania. Hapa kuna creation kubwa ya value kwa customer. Wewe uta offer nini cha ziada kushindana na mawinga?
Nikiangalia mfumo wa Alibaba unawezekana na kuendelea kuwepo sababu amejitahidi kuweka vitu kama trade assurance kwa consumer so usalama wa bidhaa, quality na hela humfanya consumer aendelee kutumia huduma yao.
Asante kwa challenge hii baab kubwa. Hiyo hiyo trade assurance ndo ya kwangu. Technically mimi ni "digital winga", na dhumuni langu ni kukeep digital track na social proof kuwa wazo langu linafanya kazi.
 
Anasema ana machimbo kama 200+ hapo kariakoo. Machimbo yake ni ya bei au machimbo kayadefine vipi...
List yangu ya machimbo yametokana na connection nlojenga na wafanyabiashara wenza. Of course according to ushauri nimeona haja ya kuexpand kwa nlichokuwa nacho, kuongeza na kupunguza ili kuwa na list iliyonyooka na yenye bei nafuu.

Aidha, idea ya quality assurance nimeiona pia, na naifanyia kazi.
 
Habari WanaJF,
Natumaini tumeanza siku vizuri. Hata kama kuna mambo hayaendi, shukuru hata kwa uhai. Mungu yupo atakupambania...

Bila kupoteza muda, ningependa kuwashirikisha wazo, na naomba feedback. Kama mfanyabiashara, siku zote unatafuta pa kununua vitu kwa bei ndogo ili uweze kuuza kwa faida inayoeleweka.

Huenda unatafuta machimbo ya bidhaa za biashara.

Nimejikaza nikakusanya zaidi ya machimbo 300 Kariakoo ambapo unaweza kununua vitu kwa bei nafuu. (natazamia kufikia 1000+ hadi mwisho wa mwezi huu).

Sasa, nikaamua kutengeneza mfumo mdogo ambao utakusaidia kwa njia hii hapa:
  1. Utaingia kwenye mfumo (tutatumia web kwa sasa, apps zitakuja baadaye)
  2. Utachagua biashara unazotaka. Kwa mfano, sandals za kike.
  3. Utapata orodha ya machimbo, ila information utakayoona itakuwa ni jina na location ya biashara.
  4. Utachagua machimbo unayotaka kwa kuclick.
  5. Utapewa bei jumlishi ya machimbo yote ulochagua. (kila chimbo kitakuwa na bei
  6. Utalipia kwa njia unayopenda. Ama kwa simu au credit card (crypto baadaye).
  7. Utatumiwa list ya machimbo kwa njia ya SMS (jina na namba za simu) au email (Majina ya biashara, namba za simu, na location ya biashara). Tutafanya mpango wa Whatsapp baadaye.
Hiyo ndo idea yangu. Ila, nlikuwa na maswali kwako, mfanya biashara:
  • Je, ni nini kinakosekana hapo juu? Unahisi unaweza kuhitaji details zipi za chimbo ambazo hazipo hapo juu?
  • Kwa sasa, ili kupelekwa kwenye chimbo na mwamba hapo Kariakoo, utalipia 5,000. Kwenye mfumo kama huu, unaweza kutoa sh. ngapi kuelekezwa kwenye chimbo husika?
Ni hayo tu. Nasubiri maoni yako.

Pamoja sana,
Amba Jnr.
Dogo una akili sana, bonge la idea..
 
Tena na hii dunia tunapokwenda ya Cashless Society, yaani mambo yote mkononi unakuwa na mfumo kama huu duka mkononi unapewa na machimbo ya jumla, ni kama Alibaba vile aylu Amazon au Ebay
 
Habari WanaJF,
Natumaini tumeanza siku vizuri. Hata kama kuna mambo hayaendi, shukuru hata kwa uhai. Mungu yupo atakupambania...

Bila kupoteza muda, ningependa kuwashirikisha wazo, na naomba feedback. Kama mfanyabiashara, siku zote unatafuta pa kununua vitu kwa bei ndogo ili uweze kuuza kwa faida inayoeleweka.

Huenda unatafuta machimbo ya bidhaa za biashara.

Nimejikaza nikakusanya zaidi ya machimbo 300 Kariakoo ambapo unaweza kununua vitu kwa bei nafuu. (natazamia kufikia 1000+ hadi mwisho wa mwezi huu).

Sasa, nikaamua kutengeneza mfumo mdogo ambao utakusaidia kwa njia hii hapa:
  1. Utaingia kwenye mfumo (tutatumia web kwa sasa, apps zitakuja baadaye)
  2. Utachagua biashara unazotaka. Kwa mfano, sandals za kike.
  3. Utapata orodha ya machimbo, ila information utakayoona itakuwa ni jina na location ya biashara.
  4. Utachagua machimbo unayotaka kwa kuclick.
  5. Utapewa bei jumlishi ya machimbo yote ulochagua. (kila chimbo kitakuwa na bei
  6. Utalipia kwa njia unayopenda. Ama kwa simu au credit card (crypto baadaye).
  7. Utatumiwa list ya machimbo kwa njia ya SMS (jina na namba za simu) au email (Majina ya biashara, namba za simu, na location ya biashara). Tutafanya mpango wa Whatsapp baadaye.
Hiyo ndo idea yangu. Ila, nlikuwa na maswali kwako, mfanya biashara:
  • Je, ni nini kinakosekana hapo juu? Unahisi unaweza kuhitaji details zipi za chimbo ambazo hazipo hapo juu?
  • Kwa sasa, ili kupelekwa kwenye chimbo na mwamba hapo Kariakoo, utalipia 5,000. Kwenye mfumo kama huu, unaweza kutoa sh. ngapi kuelekezwa kwenye chimbo husika?
Ni hayo tu. Nasubiri maoni yako.

Pamoja sana,
Amba Jnr.
Umefanya vizuri lakini jamii yetu bado kidogo, utapeli ni mwingi sana kwenye online bussness na udalli usio na UAMINIFU
 
Back
Top Bottom