and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,263
- 39,804
- Thread starter
- #261
Tuutokomeze ukimwi
Tumia sabuni na mkono wakoNataka nikajipoze manaake baridi hii sio ya kawaida.
Mkono utalegeza misuli.....bora tu niende hukoTumia sabuni na mkono wako
**** hailegezi misuli?Mkono utalegeza misuli.....bora tu niende huko
Enjo Bonge kashaungua kitambo sema anakula dawa ndo zinamsukuma, wakati ulipokuwa unapiga husikii harufu ya Wolpa (Wolpa smell)?
tafuta kwenye shimo la choo, kisha utupe mrejeshoheee[emoji15][emoji15]
harufu ya wolpa ndo ipoje hiyo[emoji2]
Kumbe wewe mzoefuunaweza kulala nae ila uwe mjanja pesa na simu ufiche,,,,chana godoro na wembe halafu ufiche hivyo vitu..ndo salama yako
Nikishawahi kuibiwa Joburg na dada zetu hao. Nilikuwa bwax hata show nilipiga bao 2 sasa nimekuja kustuka bibie kabeba begi la laptop, passport, saa na wallet. Nawaelewa vzrKumbe wewe mzoefu
Kweli kabisa, potential prostitutes!Mtu anayeshangaa changudoa dunia ya leo namuona kama ana Giza flani akilni, changu wapo jamii zote hapa duniani
Shangaa aina za machangu na namna wanavyojiuza kwa style tofautitofauti kwa kutumia mbinu mbalimbali
Hawa wanaoshangaa changu usikute wanachati nao humuhumu jf bila yy kujua naanatongoza na kutumia gharama kubwa ya pesa akijua mpenzi kumbe ananunua changudoa!
Akishachunwa vya kutosha anapgwa chini anaishia kulia nimeachwa na mpenz kumbe kaachwa na changudoa!
Ulimuwahi au alienda navyo!Nikishawahi kuibiwa Joburg na dada zetu hao. Nilikuwa bwax hata show nilipiga bao 2 sasa nimekuja kustuka bibie kabeba begi la laptop, passport, saa na wallet. Nawaelewa vzr
Sikumpata mkuu. Ilibidi kwanza niende ubalozini pretoria kupata hati ya kusafiria ya dharura, Kisha nipige Simu bongo wanitumie pesa japo sikutangaza kilichonipata. Maana wife Angetangaza ukoo mzima ingekuwa nongwa kama ishu ya BASHITTeUlimuwahi au alienda navyo!
Pole mkuu. siku ingine toa vitu vyako muhimu au ikibidi hata begi zima acha pale mapokezi. Kumbuka huyo mtu humjui wala hakujui, mmekutana tu. Tena inabidi umwangalie na kumsoma vizuri kabla hamjatoka. Mwingine sio hata wakulala nae hadi asbh anaweza hata kukudhuru.Nikishawahi kuibiwa Joburg na dada zetu hao. Nilikuwa bwax hata show nilipiga bao 2 sasa nimekuja kustuka bibie kabeba begi la laptop, passport, saa na wallet. Nawaelewa vzr
unaweza kulala nae ila uwe mjanja pesa na simu ufiche,,,,chana godoro na wembe halafu ufiche hivyo vitu..ndo salama yako
NYONGEZA: Usiende kugonga hawa wadudu ukiwa bwax, hawacelewi kuchomoa ndom ili apate joto na utelezi+Akugaiwe virusi mfe wengi. Enjo akukolea jinsi unavomuna lazima apasue ndom *****Pesa chini ya Chaga simu ndani ya viatu,alafu kama una wallet,ndo ikae nje nje,lakini tenganisha na pesa, Hawa si watu.