Machalii wa R kwa misamiati noma!

Machalii wa R kwa misamiati noma!

baptist

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2013
Posts
434
Reaction score
279
Naomba maana za haya maneno "yechu" "yechu" na "kwa fasi duasi"

Nimekuwa nikiyasikia kitaa na kwenye Radio stations!!
 
Nyie ni aje ni aje......mbona mnataka kuleta marinjirinji..........
 
Tatizo la hawa jamaa ukiwazingua hawachelewi kukupiga shoka la shingo
11891183_591954050944722_4305638565383235876_n.jpg
 
Kwa fasi ya dwasi nasikia maana yake ni eneo la tukio! Nilisikiaga clouds yule baba joniiii akisema!
 
Back
Top Bottom