zzk anajidai kama punda eti hawezi kukamuliwa! anarusha mateke akitaka kuguswa. Atakamuliwa tu pamoja na kurusha mateke maziwa yatamtoka tu. Watu wameshakamua mpaka simba baba! zzk awe mpole tu akamuliwe kistaarab!
Huyu si ndiye aliyemsaliti Kafulila kwa kuvujisha habari zake kwa mwenyekiti wa NCCR kipindi kile Kafulila anautaka uenyekiti?
Hawa jamaa wa Kigoma wana matatizo ya asili.
Eti na kafulila manautaka uenyekiti wa nccr....kudadeki.
Hivi vijamaa wa kigoma noma.
teh teh teh!machali anapesa gani jamani?na kina mzee ndesapesa waseme nini?anadai et alishiriki kujenga chadema kwa kutumia pesa zake lkn wahafidhina walimfanya ahamie nccr
Maombi Ya Aliyekuwa Askof Msaidizi wa Jimbo kuu Methodius Kilaini 'yalitunusuru' kupata Viongozi Wahafidhina 2010, Tunatarajia huko huko alipotupwa Bukoba ataendeleza Maombi yake 2015.
hahahaha bora yake kafulila alimpgia magoti mbatia wakayamaliza,sasa zzk na tamaa zake hatak kujishusha
Hawa jamaa wa Kigoma wana matatizo ya asili.
Eti na kafulila manautaka uenyekiti wa nccr....kudadeki.
Hivi vijamaa wa kigoma noma.
Wakuu, katka hali isiyo ya kawaida moses machali akiongea ktka kipindi cha hotmix kinachorushwa na eatv jion hii,anasema yeye aliamua kuondaka chadema kwakua siasa za wahafidhina zilimchosha.
Juzi juzi Tu hapa ZZK kawabwaga CDM mahakamani na Tundu Lissu wenu kwa kushindwa kwa hoja.... Sasa ndo mfukuzeni ndo muone timbwili lake.. ZZK amedhihirisha akili ndogo haiwezi kuishinda akili kubwa!
kama ana wafuasi wengi ndani ya kamati na baraza kuu kilichomfanya awapigie magoti ccm wamsaidie mahakamani nini?Juzi juzi Tu hapa ZZK kawabwaga CDM mahakamani na Tundu Lissu wenu kwa kushindwa kwa hoja.... Sasa ndo mfukuzeni ndo muone timbwili lake.. ZZK amedhihirisha akili ndogo haiwezi kuishinda akili kubwa!
Wakuu, katka hali isiyo ya kawaida moses machali akiongea ktka kipindi cha hotmix kinachorushwa na eatv jion hii,anasema yeye aliamua kuondaka chadema kwakua siasa za wahafidhina zilimchosha.
.Gazeti la ----------- lina habari nzito tena za kushtusha.
Mbunge wa Kasulu mjini Moses Machali amemshutumu vikali David Kafulila kwamba anatumiwa na Naibu Katibu mkuu wa Chadema Zitto Kabwe kukivuruga chama hicho.
Mbunge huyo wa Kasulu anadai lengo kubwa la Kafulila ni kumwondoa mwenyekiti wa chama hicho James Mbatia ili yeye awe mwenyekiti.
Pili Machali amedai kwamba baada ya Kafulila kuwa mwenyekiti atamkaribisha Naibu Katibu mkuu wa Chadema Zitto Kabwe ili awe mgombea Urais kupitia NCCR.
Moses machali ameendelea kudai kuwa baada ya mpango huo kukamilika watatumia mbinu mbalimbali kuivuruga Chadema kwa kuhama na kundi kubwa la wanachama wake.
Mbunge huyo ameendelea kudai kuwa kamwe hatakubali mbinu hiyo kwani Zitto na Kafulila wanatumika kuua upinzani.
Alipoulizwa kwanini watake kumuondoa Mbatia kwanza amesema hiyo ni kutokana na sababu kwamba kamwe Mbatia hatamkubalia Zitto kugombea urais kupitia NCCR.
nzzk anajidai kama punda eti hawezi kukamuliwa! anarusha mateke akitaka kuguswa. Atakamuliwa tu pamoja na kurusha mateke maziwa yatamtoka tu. Watu wameshakamua mpaka simba baba! zzk awe mpole tu akamuliwe kistaarab!