only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Kwa kile kinachoonekana kama hali kuzidi kuwa tete kwa upande wa chama cha upinzani-NCCR Mageuzi,leo mchana Mbunge Moses Machali ametoa tamko kali kwa wale aliowaita kuwa waleta fujo na vibaraka wa wasiotakia mema NCCR-Mageuzi na kusema wasubiri fyekeo la chuma linashuka juu yao muda si mrefu....
Akasema tuhuma dhidi ya M/kiti James Mbatia kuwa ni mbadhirifu ni za uongo na kwamba taarifa kuwa chama kinapokea ruzuku ya shs 100 m toka serikalini ni uzushi na ukweli ni kwamba chama kinapokea sh 10 m kwa mwezi.Amesema kuna watu wameingia NCCR-Mageuzi kwa lengo la kuimaliza na wengine ni watu wakubwa sana(hapa nahisi anawataja Mkosamali na Kafulila) na kadai hawatasita kuwafukuza ikibidi kwa maslahi ya chama chetu.
My take:
Hivi Moses Machali ni nani NCCR-MAGEUZI zaidi ya kuwa mwanachama na mbunge maana hamekuwa msemaji wa chama kuliko hata M/kiti na katibu au kiongozi yoyote wa chama.
source: RFA taarifa ya mchana.
Akasema tuhuma dhidi ya M/kiti James Mbatia kuwa ni mbadhirifu ni za uongo na kwamba taarifa kuwa chama kinapokea ruzuku ya shs 100 m toka serikalini ni uzushi na ukweli ni kwamba chama kinapokea sh 10 m kwa mwezi.Amesema kuna watu wameingia NCCR-Mageuzi kwa lengo la kuimaliza na wengine ni watu wakubwa sana(hapa nahisi anawataja Mkosamali na Kafulila) na kadai hawatasita kuwafukuza ikibidi kwa maslahi ya chama chetu.
My take:
Hivi Moses Machali ni nani NCCR-MAGEUZI zaidi ya kuwa mwanachama na mbunge maana hamekuwa msemaji wa chama kuliko hata M/kiti na katibu au kiongozi yoyote wa chama.
source: RFA taarifa ya mchana.