Machali amkana Zitto na genge lake

Machali amkana Zitto na genge lake

Status
Not open for further replies.
ayatullah uzushi ni jadi yake, hata aibu hana ya kumzushia mtu eti anahamia kwenye chama chake cha wasaliti. Ukisikia watu waliosoma lakini hawajaelimika huyu ayatullah ni mmoja wao. Kafulila kamkana kuhusu escrow na machali pia kamkana kuhusu kuhamia kwa wasaliti. Sijui atakuja na uzushi upi mwingine.

Cc: measkron

cc:
Motochini
 
Last edited by a moderator:
Asante sana Machali kwa kuliweka hili sawa.
Dogo alikua anajaribu kuvuta hisia za watu....

Jana wafuasi wake walikesha wanashangilia ujio wa machali baada ya zito kuwaambia kuwa machali anahamia act
 
Fundi Mchundo Yericko Nyerere ndio alituletea hii habari humu Jamvini alosema Machali ameshinda kura za maoni kupitia ACT Wazalendo na akatutajia hadi namba ya kadi ya Machali nadhani huyu ndo ana maelezo ya kina zaidi, 60% ya hekaya za Yericko angalau huwa zina 65% ya kaukweli.

Sasa machalli mwenyewe ndio kesha kanusha
 
Last edited by a moderator:
Just hate Zitto Kabwe so you can know exactly how it hurts when you hate a hero
 
Machali hawezi kukubali kwa sasa anajua anaweza anaweza kukosa hata pesheni yake,
Haya uliyoyaleza ilikuwa lazima ayaseme kwa wakati huu hat a kama ni mimi ningekana
Chezea 230,000,000.
Subiri binge livunjwe urudi jukwaani uyaseme tena haya.
 
Machali hawezi kukubali kwa sasa anajua anaweza anaweza kukosa hata pesheni yake,
Haya uliyoyaleza ilikuwa lazima ayaseme kwa wakati huu hat a kama ni mimi ningekana
Chezea 230,000,000.
Subiri binge livunjwe urudi jukwaani uyaseme tena haya.

Acha kubwabwaja we we, unamaanisha Hamad Rashid na Shibuda hawapati mafao yao?
 
Ayatullah uzushi ni jadi yake, hata aibu hana ya kumzushia mtu eti anahamia kwenye chama chake cha wasaliti. Ukisikia watu waliosoma lakini hawajaelimika huyu ayatullah ni mmoja wao. Kafulila kamkana kuhusu escrow na Machali pia kamkana kuhusu kuhamia kwa wasaliti. Sijui atakuja na uzushi upi mwingine.

CC: measkron

Nilisha waeleza hapa kuwa Ayatullah atakuja siku aseme yeye ni mmoja wa waasisi wa Azimio la Arusha ila hamjamsikia tuu kwa vile alikuwa hajazaliwa. Huyu jamaa ni zaidi ya kimeo ila nahisi anatumia nguvu za giza (aka Limbwata) kupata wafuasi kwani wapo watu na akili zao huwa hawazioni kabisa hadaa zake.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Ayatullah uzushi ni jadi yake, hata aibu hana ya kumzushia mtu eti anahamia kwenye chama chake cha wasaliti. Ukisikia watu waliosoma lakini hawajaelimika huyu ayatullah ni mmoja wao. Kafulila kamkana kuhusu escrow na Machali pia kamkana kuhusu kuhamia kwa wasaliti. Sijui atakuja na uzushi upi mwingine.

CC: measkron

Huyu dogo akiba ya maneno hana. Anatakiwa asiongee sana bali atende na sie tuone sio kelele nyingi mwisho wa siku hola
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Acha kubwabwaja we we, unamaanisha Hamad Rashid na Shibuda hawapati mafao yao?

Mkuu kwa nini tuandikie mate, bunge limebakiza mda mchache,
Utashuhudia makubwa kuliko hata hilo machali kuhamia act.

Hapo ndipo utakapojua kati ya Mimi na wewe nani anabwabwaja.
Na wakati huo ndipo utakapojua kwamba chama hakiongozwi kwa propaganda za mitandaoni,
Bali chama huongozwa kwa mipango makini iliyopangwa kisayansi.
 
Zzk ni tapeli la kisiasa.

Mkuu,Zzk sio tapeli wa kisiasa bali ni mwanasiasa mzuri.he knows how to play the games..ila kwasasa watanzania hatuhitaji mwanasiasa,tunahitaji kiongozi mzuri.tunahitaji raisi mzuri mwenye uwezo wa kutuongoza kuelekea kwenye nchi ya ahadi
 
Machali amsha amsha zako ndani ya ukawa bado ni muhimu sana bado tunakuhitaji ndani ya ukawa usikubali kuwasaliti wananchi juu ya Latina yao
 
Niliwahi kuajiri hao wakigoma , unatakiwa kusikiliza tu na kusubiri maana ni selfish na wanabadilika kufuata maslahi binafsi ni wanafiki wengi wao sasa Machali anaweza kuhamia act hapa anapima upepo tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom